Kwanza kabisa hiki ni kitu cha kukemea kwa nguvu zote kwa sababu moja picha nyingi za utupu ni picha ambazo wame edit ukiangalia picha ya yule miss Tz aliyepita kiwiliwili sio chake sura ndio yake,wengine sina uhakika inaweza kuwa kweli.
Picha zingine vimetolewa sehemu kama Hi5 na kuwekwa pale mtu wanamjadili ,sasa hii mbaya sana ,inachukuliwa picha inawekwa watu wanakuchambua,duh noma.
Kwangu tatizo kubwa ni kuwa huu utaratibu inaweza kufikia ukaona picha ya mkeo mule au hata mwanaume unaweza kuona picha yako mule unapewa kitu maana nimeona mpaka za gays kwa sababu za kuchukiana .Hii ni challenge kwetu tukiliachia hili litakuja kutudhuru mbeleni
Picha zingine vimetolewa sehemu kama Hi5 na kuwekwa pale mtu wanamjadili ,sasa hii mbaya sana ,inachukuliwa picha inawekwa watu wanakuchambua,duh noma.
Kwangu tatizo kubwa ni kuwa huu utaratibu inaweza kufikia ukaona picha ya mkeo mule au hata mwanaume unaweza kuona picha yako mule unapewa kitu maana nimeona mpaka za gays kwa sababu za kuchukiana .Hii ni challenge kwetu tukiliachia hili litakuja kutudhuru mbeleni