Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 486
Hatimae theutamu yafungwa milele
Mama Mia tembelea hapa Utamu wa kujing'ata Ulimi mambo yako palepale. Walipumzika kidogo,,,,haya mambo kwenu
Hatimae theutamu yafungwa milele
watu chupi zimewabana! teheheheee
moderator acha kubania kaka. watu hawalali kwa sababu ya theutamu. acha roho mbaya moderator kwani kusema "zeutamu" ndo kosa?
ruDePiCHAz,member humu,kazi ipo.What next now
Kumbuka naye ni Mod wa utamu.
Kazi ipo kweli kweli alafu ana siku chache toka ajiunge.
Sijui mods wa humu watamchukulia hatua gani za kunidhamu.
Maoni ya wanaotembelea mtandao huo:Mtandao wa globalpublisherstz.com, unatangaza donge nono la shilingi milioni kumi (10,000,000) kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana laivu kwa mmiliki na mwendeshaji wa mtandao wa Ze utamu!.
Aidha, Kampuni ya Global Publishers imeamua kuchukua hatua hiyo baada ya kuhusishwa na kuchafuliwa na mtandao huo kwa makusudi kwa wahusika kutumia picha zake bila idhini. Tunapenda kusema na kusisitiza kuwa GPL haihusiki kwa namna yoyote na mtandao huo na zaidi nayo ni muathirika wa vitendo vyake.
Wa Pili:NYIE NDIO WAMILIKI WA ZEUTAMU!! MSITUFANYE NI WABUMBAVU!!
Wa Tatu:Cyber law mzee iko so complicated, sijui mtamfungulia mashitaka gani wakati IP address iko usa. Na USA Cyber law haioko tight kabisa, nadhani kwa hili ni bora muiambie serikali ya Jakaya iwe na satelite yake yenyewe ambayo itaizuia zeutamu kuwa kwenye anga ya Tanzania.
Wa Nne:mmechemka kama ingekuwa ishu mitandao ya wazungu ingeshasambaratishwa
Wa Tano:mtandao hauko ulaya wala wap.uko hapa bongo
binafsi nimeshiriki kudevelop mtandao huo,hasa uapnde wa data base,na sasa tuna pango wa kuongeza database yetu.
mimi kama mtaalam wa computer(web designer& networking) nasema hiv milion kumi ni kidogo sana kugunga mtandao wetu.
sisi ze utamu hatumiliki picha,zinatumwa na wapenzi wa mtandao.na hatujui kama zimetoka kwenu globalpublishers. pengine mmetuma wenyewe.
tunaomb musome disclamer yetu chini ya mtandao wa ze utamu.
lengo letu ni kurekebish tabia chafu ktk jamii.n safari hii hakuna atayeifunga ze utamu.
someni cyber law(sheria za matumiz mabaya ya mtandao)
ze utamu inatoa pole kwa GP,kama mmekwazika.
sisi tuko kazini
Wa Sita:Acheni Kutuzuga GPL Ndio Wamiliki Wa Zeutamu Hio Inaeleweka Mbona
Wa Saba:Hapo Mmechemsha wakuu,
Osama anaweza akakamatwa lakini Sio Utamu.
Pia yaweza kua rahisi kupata tiba ya ukimwi, lakin sio tiba ya utamu.
Inahitajika Juhudi sana kumpata huyo Utamu, ikiwezekana kwa Msaada wa mashirika ya Kijasusi.
La si hivyo, ugulieni maumivu
Wa Nane:nyie globla publisher acheni uzushi, mbona nyie mnapiga watu picha bila idhini yao, tena isitoshe huwa mnaandika habari za uongo na za kinafiki.
Waandishi wenu wa habari hawana sifa kabisa, sijui kama wamekwenda shule au ni wakuokota mitaani.
ze utamu hawezi kupatikana hata 100,000,000,000,000
kwani anapendwa na analindwa na wengi.
Hizo hela mbuzi haziwezi kusababisha ze utamu akamatwe labda mzigeuze kuwa pounds or euro ndio hata mimi naweza kushawishika kuwaeleza mahali alipo, tena baada ya kunipa 3/4 ya madola.
Acheni ujinga
Wa Tisa:Ni kweli the utamu na nyinyi tofauti yake ni nini?? kama kuwakwaza watu hata nyie mnawakwaza watoto wa watu kutwa! acheni unafiki
Utamu is my Home page dont touch it pleeeeeeeeeeseeeeeeeeee!
Wa Kumi:KUMBE WAPENDA NGONO WENGI CHEKI WALIVYOKURUPUKA ZEUTAMU MMILIKI WAKE NI SHIGONGO NI MOJA YA VYANZO VYAKE VYAKUPATIA HABARI.
Chanzo: Global Publishers - Tanzania NewspapersLeo ndio mnaona uchungu sio?
Mimi kusema kweli, nawashangaa sana Global, nyie Utamu, na Punch wa vyuoni wala siwatofautishi.
Global mmechangia sana kufa haraka kwa Amina Chifupa na hata sasa kumchaganya akili Nora. Kwahiyo sidhani kama kazi yenu na Utamu inatofautiana, na si ajabu Global ni haohao utamu.
Naomba utuondelee huo upuuzi!