Leo kipindi cha kuperuz na kudadiz,huyo jamaa anaitwa PGA ndo nani ,na yule mwezeka na kali kadada kananogeshaga mambo sana.
Hivi kuna vita kati ya kazeti la Tanzania daima na Clouds hiyo.Maana wanapiaga vijembe kitu kidogo sana ,eti kwenye captions kunaneno limekosewa ,badala ya Quality Centre imeandikwa Qurity central ,hivi hao jamaa wanazo kweli kichwani sijuwi?
Hivi kuna vita kati ya kazeti la Tanzania daima na Clouds hiyo.Maana wanapiaga vijembe kitu kidogo sana ,eti kwenye captions kunaneno limekosewa ,badala ya Quality Centre imeandikwa Qurity central ,hivi hao jamaa wanazo kweli kichwani sijuwi?