Zawadi ya ngono

Zawadi ya ngono

Leo kipindi cha kuperuz na kudadiz,huyo jamaa anaitwa PGA ndo nani ,na yule mwezeka na kali kadada kananogeshaga mambo sana.
Hivi kuna vita kati ya kazeti la Tanzania daima na Clouds hiyo.Maana wanapiaga vijembe kitu kidogo sana ,eti kwenye captions kunaneno limekosewa ,badala ya Quality Centre imeandikwa Qurity central ,hivi hao jamaa wanazo kweli kichwani sijuwi?
 
Leo kipindi cha kuperuz na kudadiz,huyo jamaa anaitwa PGA ndo nani ,na yule mwezeka na kali kadada kananogeshaga mambo sana.
Hivi kuna vita kati ya kazeti la Tanzania daima na Clouds hiyo.Maana wanapiaga vijembe kitu kidogo sana ,eti kwenye captions kunaneno limekosewa ,badala ya Quality Centre imeandikwa Qurity central ,hivi hao jamaa wanazo kweli kichwani sijuwi?

utumwa huu mkuu pole sana......

redio umefungua mwenyewe unalalamika mwenyewe...
mbaya zaidi unamwaga pumba mwenyewe kuwa wanachokisema wako sahihi..

hivi ukikosoa kitu ndio kukosana na mtu??

mkuu hii sehemu ni ya siasa halafu huu mtandao ni wa watu wazima na akili zao, ondoa ushabiki wa kijinga !!!
 
Leo kipindi cha kuperuz na kudadiz,huyo jamaa anaitwa PGA ndo nani ,na yule mwezeka na kali kadada kananogeshaga mambo sana.
Hivi kuna vita kati ya kazeti la Tanzania daima na Clouds hiyo.Maana wanapiaga vijembe kitu kidogo sana ,eti kwenye captions kunaneno limekosewa ,badala ya Quality Centre imeandikwa Qurity central ,hivi hao jamaa wanazo kweli kichwani sijuwi?
Samahani Mkuu, lakini sijaelewa unasema nini hapa
 
vilaza hao ndio wanaoua watu mahospitalini na kufanya vibaya makazini mwao, sio lazima shule jamani kama haipandi fungua duka la vipodozi
 
kumekuwa na malalamiko mengi ya rushwa za ngono kwa wanawake na mabint towards wanaume. je hakuna maboss au ,mameneja wanawake ambao huwa wanahitaji rushwa za ngono kwa wanaume ili watoe ajira kwao?







on another side of the coin
 
Kila udi efu em..
manukato kwa kwenda mbeleeeee

Tena hawa ndo wanauchezea wimbo wa taifa,leo nimwembia nchimbi wazir mwenye zamana(nimemtumia msg)sasa clouds wasipo acha kuchezez huu wimbo wa taifa,wazir awajibike
 
mi nabakwaga kila mara na mama mwenye nyumba wangu kwa kigezo kuwa eti nimechelewa kulipa kodi, sina wa kumwambia, nilisha wahi kumshitaki kwa mjumbe, mjumbe akanitimua eti nitoe "UTOTO" wangu, nikaenda kushtaki polisi, wakanitishia kunitia ndani iwapo nitaendelea kupeleka malalamiko ya kipuuzi
 
mi nabakwaga kila mara na mama mwenye nyumba wangu kwa kigezo kuwa eti nimechelewa kulipa kodi, sina wa kumwambia, nilisha wahi kumshitaki kwa mjumbe, mjumbe akanitimua eti nitoe "UTOTO" wangu, nikaenda kushtaki polisi, wakanitishia kunitia ndani iwapo nitaendelea kupeleka malalamiko ya kipuuzi

....lol....sasa hii nayo shughuli!...hama!
 
....hii tabia ya utegemezi kila mahala na kujijengea mazingira bila kuvua chupi mambo haiendi, ni ulemavu wa
akili ambao unampelekea mtu huyo kuwa mtumwa wa haki zake mwenyewe.

....ila je, wapokeaji zawadi hiyo nao tuwaeleweje maana kuna walionogewa nao kiasi kwamba bila 'zawadi' hiyo
hakuna haki wanayotoa!
 
....hii tabia ya utegemezi kila mahala na kujijengea mazingira bila kuvua chupi mambo haiendi, ni ulemavu wa
akili ambao unampelekea mtu huyo kuwa mtumwa wa haki zake mwenyewe.

....ila je, wapokeaji zawadi hiyo nao tuwaeleweje maana kuna walionogewa nao kiasi kwamba bila 'zawadi' hiyo
hakuna haki wanayotoa!

ngona ya haki unapata toka kwa mkeo tu. Hivyo basi si vinaya kumzawadie mkeo ili kumpa moyo wa kukupa zaidi au kujifunza ujuzi mpya.
 
kumekuwa na malalamiko mengi ya rushwa za ngono kwa wanawake na mabint towards wanaume. je hakuna maboss au ,mameneja wanawake ambao huwa wanahitaji rushwa za ngono kwa wanaume ili watoe ajira kwao?







on another side of the coin

hii mbona kali. Wao hutawaliwa arrogance zaidi.Na wana dharau kupita maelezo. Na mume ukiombwa rushwa hiyo. Ukatae. Utajuta utakavyonyanyasika hapo ofisini!
 
hii mbona kali. Wao hutawaliwa arrogance zaidi.Na wana dharau kupita maelezo. Na mume ukiombwa rushwa hiyo. Ukatae. Utajuta utakavyonyanyasika hapo ofisini!

tena walivyo na roho mbaya atataka akuchezee kama mdoli pamoja na kuwa ulipompa rushwa alisikia utamu.
 
Leo kipindi cha kuperuz na kudadiz,huyo jamaa anaitwa PGA ndo nani ,na yule mwezeka na kali kadada kananogeshaga mambo sana.
Hivi kuna vita kati ya kazeti la Tanzania daima na Clouds hiyo.Maana wanapiaga vijembe kitu kidogo sana ,eti kwenye captions kunaneno limekosewa ,badala ya Quality Centre imeandikwa Qurity central ,hivi hao jamaa wanazo kweli kichwani sijuwi?

Inanikumbusha spika Sitta kipindi kile angesema.. ''Hili swali jipya kabisa hili...Mheshimiwa Waziri majibu....,..,ila unaweza kuliacha kama huna majibu..''
 
mimi kila mwaka nachukua zawadi ya mfanyakazi bora niko vizuri am professional ujue kuna mahali hapahongeki besides sijasoma elimu zenu uchwara za bongo. niko na confidence na kazi yangu ipo kwenye damu yangu siitaji kuhonga k nipate kazi cause nauzika kila mahali dunia nzima usipime

Kuwa mfanyakazi bora kila mwaka nayo inatia shaka! Ina maana ofisi nzima ww tu ndiye mtendaji mzuri! Hapa hapana shaka kuwa kuna bosi anaufaidi mwili wako ndio analipa fadhila au kuna upendeleo fulani au kuna dosari ktk reward management system ya kampuni yenu.

Pili hata kama umesoma huko ughaibuni sidhani kama ni busara kutukoga kwa kusema "elimu zenu uchwara za bongo". Haijalishi umesoma wapi tunachoangalia una mchango gani ktk jamii yetu. Kuna waliosoma huko ulikosoma ww na ndio mafisadi namba moja hapa nchini.

Tatu usipende kupokea zawadi kutoka kwa wanaume. Wanaume huwa hatuwapi zawadi wanawake hivi hivi tu. Tuna ajenda zetu nazo si nyingine ila kupewa mbunye. Sasa angalia! Hao jamaa wanaokupa zawadi wanakilia timing hicho kitumbua chako na kuna siku watakitafuna tu. Chunga sana!!!!!
 
Tatizo hapa ni mfumo na kila anayejadili naona anatupa lawama kwa kundi moja kama siyo lingine.
Nafikiri tuwe pia na utamaduni wa kukosoa na kupendekeza njia ya kurekebisha. Ni maoni yangu kuwa mpango mzima hapa ni kutangaza dau kwa mwanamke yeyote aliyewahi kuombwa ngono na kiongozi yeyote hata kama ni rais ili apate favour fulani, aweke mambo hadharani na tuweke mazingira ya mtuhumiwa akithibika kumlipa mwanamke huyo fidia inayoweza kubadili maisha yake ikibidi na kifungo kama malipo ya kumdhalilisha. Utaratibu huu unaweza kusaidia kupunguza ukubwa wa tatizo. Hili pia linawahusu wanawake wanaotoa kazi kwa kwa malipo ya ngono huku wakijijua kuwa ni wagonjwa
 
TABIA CHAFUU asubiri na kazi akafanyiwe.. yata mkuta kama mke wa afisa mmoja ivi wa CRDB mke wake anavyeti vizuri sana vya uhasibu, ila hata maana ya bookeping hajui lol!:tape2:
yote hayo n ni matokeo ya roho mbaya za wanaume kupenda kutumia udhaifu wa wanawake kujinufaisha kimwili. tuchukulie swala la ajira,suppose lizzy jinsi soko la ajira lilivogumu leo hii boss wa tbl hrm tena aseme anataka k katika wadada mia wangapi watakataa? maisha na wanaume ndo vinaharibu wadada.ila mimi namshukuru mungu toka la kwanza hadi chuo nilitumia akili yangu ata kazi yangu niliipata kiuhalali kabisa
ingawa watu hawaachi kuchonga ila ndo ukweli,
 
Back
Top Bottom