Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,286
- Thread starter
- #21
kuna uzi uliwai kuwekwa hapa jf.na ulikuwa unaelezea ukubwa la tatizo ili la gift ya....
Na ilikuwa inasema 75% kama sikosei ya wanawake walioajiriwa serikalini na sector binafsi walivuliwa sketi.
Nilikua nakazia tu uzi.
Kaazi kweli kweli!!
Sasa shule wanaenda kufanya nini?