Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
kWala usishangae mkuu waafrika tuko advanced sana kwenye mawazo hayo lol!
wa hiyo Mods wametafsiri kivyao vyao?
kWala usishangae mkuu waafrika tuko advanced sana kwenye mawazo hayo lol!
Siwezi amini kua post hizi ndo zimesabisha mpaka tumejikuta wote tupo huku kwa maria Rosa?
Mod please hebu fafanueni hapa
Yaani wamesababisha hata Keren simuoni tena, sasa na nilikua sijamalizia mualiko wangu niliopata, naanza kuona Idd itakua chungu tena!Wala usishangae mkuu waafrika tuko advanced sana kwenye mawazo hayo lol!
ni kweli haswa huyu ndio kichwa cha shughuli pale!Alistaafu huyu siku hizi wapo Funza dume wakishirikiana na Mr. Alex.
Fedha ndiyo imemuondoa Gadaffi mkuu, fedha mwanaharamu.Hahahaha... aisee kuna watu wanajua kusaka hela za Idi aisee khaaa!
Taja the Boss akupe zawadi yako wewe! Wewe shangaa tu,mhh hivi mti unaotakiwa
kutajwa ni wa jukwaa la wakubwa
sijui nitaje au niache
Dah!!! Aisee yaani watu wanataka MTI
hii ni fungi sio mmea..Uyoga...
jibu mkuu ni ulezi mkwanja wangu..nitajie jina la kiswahili la mti wowote ule
ambao hauitwi kwa kuanza na herufi m......
na hapa nazungumzia mti,mimea
miti ya kupandwa ardhini...mfano mwembe,muarobaini, n,k.