Kwa utajiri wote wa taifa hili, bado mnatumia mrija wa muungano kutunyonya? Ni muda wa kuvunja mrija na kuweka bomba (pipeline) la neema moja kwa moja kwenda Zanzibar
Kwakuwa watanganyika wamekosa uzalendo wanapigia magoti pesa na vyeo kuzidi taifa lao hio tayari ni tiketi ya kuweka bomba, wale wanaotetea kama kina mpina hawapo wengi wanahesabika, wengi wapo nyuma ya keyboards wakitumia id feki na vpn, hawana madhara ni waoga cowards !
watanganyika wamelala kaisi cha kutochukua hatua yoyote hata wanapoitwa "Kenge" ! yani ishu iliishia kwa malalamiko ya mtandaoni nyuma ya keyboard na baada ya siku 3 maisha yakaendelea kama kawaida
Zanzibar inaweza kuwa nusu Dubai ni suala la kujipanga vizuri tu, njia ni nyeupe kuzipiga mnada mali za watanganyika, kuchepusha kodi za watanganyika, kuhamisha misaada na mikopo ya Tanganyika, n.k.
Kwakuwa watanganyika wamekosa uzalendo wanapigia magoti pesa na vyeo kuzidi taifa lao hio tayari ni tiketi ya kuweka bomba, wale wanaotetea kama kina mpina hawapo wengi wanahesabika, wengi wapo nyuma ya keyboards wakitumia id feki na vpn, hawana madhara ni waoga cowards !
watanganyika wamelala kaisi cha kutochukua hatua yoyote hata wanapoitwa "Kenge" ! yani ishu iliishia kwa malalamiko ya mtandaoni nyuma ya keyboard na baada ya siku 3 maisha yakaendelea kama kawaida
Zanzibar inaweza kuwa nusu Dubai ni suala la kujipanga vizuri tu, njia ni nyeupe kuzipiga mnada mali za watanganyika, kuchepusha kodi za watanganyika, kuhamisha misaada na mikopo ya Tanganyika, n.k.