Zanzibar ni member wa SADC?

Zanzibar ni member wa SADC?

Kusema ukweli hawa mabwana tumeshawazulumu (Zanzibar) Kwa hiyo kila sehemu tunayojiunga na wao wanatufuata.
Huu ni ukweli mchungu sana.

Hawawezi kwa kuwa wao si dola!! Katika mikataba ya kimataifa sovereign state ndio inaingia mikataba na si sehemu ya nchi ama mkoa kama ilivyo Zanzibar. Duniani hakuna nchi inaitwa Zanzibar
 
Hili hata Nguli wa sheria watakubaliana nami kuwa halipo sawa.... Yeye anaingia kwenye baraza kwa nafasi yake kwa mujibu wa ibara ya 54(1) huo uwaziri anaopewa unamaana gani? Kuapishwa si shida ila shida Ni huo uwaziri.....
Ni Kama AG angeapa pale mjengoni kuwa mbunge asiye na Jimbo maalumu

Kwani AG haapi?
 
Hawawezi kwa kuwa wao si dola!! Katika mikataba ya kimataifa sovereign state ndio inaingia mikataba na si sehemu ya nchi ama mkoa kama ilivyo Zanzibar. Duniani hakuna nchi inaitwa Zanzibar
Sasa mbona wanabendera yao na nyimbo yao ya Taifa lisilojulikana
 
hizi ndio kero za muungano , kama zanzibar iliungana na Tanganyika na bado ipo je Tanganyika iko wapi ? au Tanzania ndio Tanganyika , kwanini ? ndio maana wazanzibar wanataka kero zitatuliwe , kumbuka wanasema Zanzibar ni Nchi , ina bendera na wimbo wake wa Taifa , sasa kinachoitwa muungano ni nini ?

Hawezi kujibu, umemmaliza....

Asiposema, sina comment....huyo dada atakuwa kichwa panzi!!
 
Tuwe wakweli sheini pale aliingia kama makamu wa rais mstaafu mithili ya bilali alivyoingia pale. Kwenye vyeo vya jamhuri ya muungano Shein hana mamlaka yoyote. Huo n urais ambao hauna mamlaka.
 
Hawawezi kwa kuwa wao si dola!! Katika mikataba ya kimataifa sovereign state ndio inaingia mikataba na si sehemu ya nchi ama mkoa kama ilivyo Zanzibar. Duniani hakuna nchi inaitwa Zanzibar

Very painful indeed. ujinga wa karume umetufanya wabara wanatudharau namna hii. Nafikiri kizazi kijacho hakitavumilia uhanithi huu. Watanganyika lazima mjue kuwa waznzibari hatukuutaka muungnao huu. Ni woga na upubavu wa karume ndo ulotukisha hapa. Mjue kwa sisis tunapenda sana nchi yetu ya znz na hata tukiwaa nje tunajitambulisha kama wazanzibari na sio watanzania. ccm walio wachache znz ndio wanaokusaidieni kutudhalilisha na kutututawala. Ukoloni ktk ubora wake.
 
Msilete kujuana kwenye mali za watu , Sadc si mali ya ccm , ni mali ya nchi wanachama tu , Zanzibar haimo , hizi ndio kero za Muungano , ni kama vile mlivyoihujumu Zanzibar kule CAF
Zanzibar Sio nchi ni kama mkoa mmoja wapo wa Tanzania. Bajeti ya Zanzibar ni bajeti ya wilaya moja ya Tanzania. Ile ni kama mkoa. Yeye mheshimiwa shein kiutaratibu anatakiwa kuhudhuria kwenye Baraza la mawaziri wa Tanzania. Shein anafahamika Zanzibar tuu. Umoja wa mataifa haumtambui
 
Tukienza kuendekeza upinzani na mijadala kwa lengo la kubishana, tutajikura tunakua na jamii isiyofikiri kwa kina na inayopelekeshwa na kila jambo kwa kufuata mkumbo.

Rais wa Zanzibar kahudhuria kama miongoni mwa viongozi wa kitaifa wa Tanzania.

Kero kama zipo zitatuliwe lakini kamwe zisihusishwe na huu mkutano wa SADC.
 
Hawawezi kwa kuwa wao si dola!! Katika mikataba ya kimataifa sovereign state ndio inaingia mikataba na si sehemu ya nchi ama mkoa kama ilivyo Zanzibar. Duniani hakuna nchi inaitwa Zanzibar

Wallah huo ni ujinga uliopevuka. sasa nashangaa sijui kwa nini tunabaki ktk muungano? Leo kwa mfano CCM znz ikishindwa znz basi hakutakuwa na muungano. hatuutaki hata kuusikia. Yaani znz huina mamlaka hata ya kulala na mkeo mpak uombe ruhusu kwa mkoloni tanganyika . Hasara iliyoje? Hata kukohoa huwezi mpka uombe ruhusu kwa Mipango waziri wa fedha wa tanganyika naye anaweka ngumu kwa lenye maslahi na znz. Lanatullah. natamani yangetokea mataifa yakatubeba ktk kutetea haki ya yetu ya kujitawala ningeshukuru sana kama ilivyobebwa iliyokuwa East Timor ( iliyokouwa part of Indonesia), South Sudan, Eritrea iliyokuwa part of Ethiopia. Lkn kwa bahati mbaya tuna vibaraka wa wakoloni ( CCM zanzibar ) hakuna chochote kitakachokuwa. Lilibaki ni kuinamishwa tu na kuvuliwa chupi.
 
Zanzibar Sio nchi ni kama mkoa mmoja wapo wa Tanzania. Bajeti ya Zanzibar ni bajeti ya wilaya moja ya Tanzania. Ile ni kama mkoa. Yeye mheshimiwa shein kiutaratibu anatakiwa kuhudhuria kwenye Baraza la mawaziri wa Tanzania. Shein anafahamika Zanzibar tuu. Umoja wa mataifa haumtambui

Maneno hayo kamwambie mama yako. Umetahiriwa? Hakuna rais wa znz ukitoa shein aliyewahi kuapishwa kama waziri ktk seriakli ya muungano. Amani alikataa, Salmini amour alikataa . nionavyo, kukubaki kuapa kama mjumbe wa baraza la mawaziri wa muungano ni kujidhalilisha na kuidhalilisha nchi yako. Full stop.
 
Wallah huo ni ujinga uliopevuka. sasa nashangaa sijui kwa nini tunabaki ktk muungano? Leo kwa mfano CCM znz ikishindwa znz basi hakutakuwa na muungano. hatuutaki hata kuusikia. Yaani znz huina mamlaka hata ya kulala na mkeo mpak uombe ruhusu kwa mkoloni tanganyika . Hasara iliyoje? Hata kukohoa huwezi mpka uombe ruhusu kwa Mipango waziri wa fedha wa tanganyika naye anaweka ngumu kwa lenye maslahi na znz. Lanatullah. natamani yangetokea mataifa yakatubeba ktk kutetea haki ya yetu ya kujitawala ningeshukuru sana kama ilivyobebwa iliyokuwa East Timor ( iliyokouwa part of Indonesia), South Sudan, Eritrea iliyokuwa part of Ethiopia. Lkn kwa bahati mbaya tuna vibaraka wa wakoloni ( CCM zanzibar ) hakuna chochote kitakachokuwa. Lilibaki ni kuinamishwa tu na kuvuliwa chupi.
Sheikh vipi tena? Umefika kwenye kuinamishwa na kuvuliwa pichu?
 
Back
Top Bottom