Sidhani kama manji amefanya makosa kununua hivyo viwanja ama useme kama ametumia nguvu kuvipora.ikiwa manji ameuziwa na wahusika yaani mamlaka iliyopewa idhini ya kutunza mali za waislamu imeviuza sasa kosa la manji hapo li wapi?Siyo kanuni yao
Kwa hiyo anasali kwa Gwajima au wapi, nauliza tu?Breaking nyuzii manji kaokoka
Sidhani kama manji amefanya makosa kununua hivyo viwanja ama useme kama ametumia nguvu kuvipora.ikiwa manji ameuziwa na wahusika yaani mamlaka iliyopewa idhini ya kutunza mali za waislamu imeviuza sasa kosa la manji hapo li wapi?
kwa hilo waislam wasimshike manji uchawi bali wamtafute mchawi wao.
UISLAM NI DINI YA HAKI.
Ni waislama au Wakristo? Jibu ni waislam, kosa ni la nani na aliwatumia vipi? aliwaendea na bastola wamuuzie au ni vipi hebu labda tufafanunulie MCHAKATO ULIKWENDAJE?Umeambiwaa kua aliwatumiaa watumishi wasio waaminifu
Si vyema kudhania au kumdhania mtu, hata Uislam unaaamrisha MAKUBALIANO/MIKATABA n.k. vitu kama hivyo vipo, Manji yeye angejuaje watumishi anaodeal nao ni waaminifu au lah, yeye anachojua BAKWATA CHOMBO CHA KIISLAM NA WALIOPO PALE WAMEAMINIWA NA WAISLAM, Labda ungenijibu maswali yangu ndo tungeelewana,...Zilijibu na zinaendelea kuitika mpaka iombwe toba ya uhakika si ya kujidanganya kwa wahusika wote.
Halafu kwa ID yako hiyo hauelekei kuwa na maneno kama hayo, au ni mdau wa bakwata? Declare interest.
Ungetaka usijibiwe na wachangiaji wengine usingeuliza kwenye open forum. Hii ni open forum na kila moja yupo huru kumjibu yeyote yule, mradi iwe ki staha tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwapicha hii, inaonyesha dhahiri Mwalimu aliwaogopa waislam kitambo. .... !! Ndiyo maana aliwadhibiti mapemaaaa....!!
ubongo wako ni mzigo wa mavi hata Kwako mwenyewe, upo tu bora liende wala hujitambui.Mmemuuliza habari zake kwa boss wake au kama anajuwa yuko wapi?