pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,565
Mm nimesomaa madrassa
Wewe na elimuu yakoo unaweza kua kibarua wangu period
Duuu....madrassa niwe Kibarua wako..wa kukubebea Quran au???
Mm nimesomaa madrassa
Wewe na elimuu yakoo unaweza kua kibarua wangu period
Hujanijibu bi mkubwa!Kama hiyo haijakuingia, pata hii:
Genesis 9:6 If anyone takes a human life, that person’s life will also be taken by human hands...
SEMA KWELI JAPOKUWA INAUMAKWANINI UNAMSHAMBULIA MUISILAAM MWENZETU?HUONI KAMA UNAWAPA WAKRISTU NGUVU YA KUUZOOFISHA UISLAMU?KWANINI HUKUSEMA HAYA KULE FARAGHANI
Ndio akili za watanzania average hizo. Serekali inaingia mkataba fisidi na muwekezaji. Watanzania kutwa makelele na huyo muwekezaji.Kumbe tatizo ni viwanja alivyouziwa na bakwata basi harudishi kwa sababu sio kosa lake bali ni kosa la bakwata
Nimeshangazwa na kauli ya FaizaFoxy kuhusu Ben Saanane. Huu ni uzandiki na upunguani wa mwendokasi. Kwani jukumu la kulinda raia ni la Mbowe au serikali???? This is insanity
Hayo yanayomfika Nisiongelee tuwache Mahakama ifanye kazi yake, Mie kidogo napingana na hii issue ya viwanja vya WAKFU, Kwani Manji alichukua au kupora bila kuingia MKATABA na Waislam??? Bakwata aloingia nao mkataba ni kina nani? Je? Manji hakuwalipa hao BAKWATA, Mikataba militia ya kidhulma kwa kuangalia sharia ipi??? Nadhani hapo palifanyika MAKUBALIANO YA PANDE ZOTE 2 NA ZIKAJIRIDHISHA NA KWA VILE LILE ENEO LA WENGI WAKATOKEA WENGINE KWA MALALAMIKO kwa sabab moja au nyengine, kama kulikuwepoa MAKUBALIANO SIJAJUA KOSA LA MANJI NI LIPI? Wakulaumiwa ni hao Bakwata au hao Viongozi waloingia makubaliano, nadhani mitihani inayomfika Manji ni mitihani kama mitihani mingine kwa binaadamu na sio kwa sabab ya issue ya lile eneo, hizo albadiri zilizosomwa zingejibu kipindi kile kile na sio baada ya miaka 10 sijui 15..
Hakika umenena.Kwa Mungu kila jambo linawezekana. Mungu atamsaidia Manji kuondokana na Mapito haya.
Mtu anapotea baada ya kuhoji uhalali au uharamu wa PhD ya maganda ya korosho halafu unalaumu wengine???? Unafikiri angepotea au Jesca M au Daudi Bashite baada ya kujiuzulu hali ingekuwa kama ilivyo????Wewe ukipotea kazini kwenu nani wa kuulizwa kwanza?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Waislamu wakati mwingine hawaaminiki kwa unafiki hasa nyakati za uchaguziYussuf Manji ni Muislam na aliwakosea Waislam na ni wajibu wetu kukumbushana.
Toba ni kwa yeyote.
Mtu anapotea baada ya kuhoji uhalali au uharamu wa PhD ya maganda ya korosho halafu unalaumu wengine???? Unafikiri angepotea au Jesca M au Daudi Bashite baada ya kujiuzulu hali ingekuwa kama ilivyo????
Halafu kwa akili ndogo kama chembe ya haradali unasema kuulizwa, give me a break, issue ni kutafutwa kwa machinery za serikali na si kuuliza then what!????
Nyie pilau na kofia kwisha habari yenuTumewaona wasio Waislam wakati wa uchaguzi, Lowassa VS Slaa.
Waliaminika sana.