Yussuf Manji, Omba Toba

Yussuf Manji, Omba Toba

Bado sijaona ambako manji amefanya kosa,ila wewe mtoa hoja una nafasi ya kutupatia jibu juu ya hoja yako je bakwata ndio wezi wenyewe?tujibu hapo kwanza ndio tuanze kumnyooshea manji kidole.
 
Asante kwa ukumbusho mubashara
Manji hajawakosea waislamu chochote, bakwata walimuuzia viwanja kwa madharti awatafutie kiwanja kikubwa ili wajenge chuo kikuu, kafanya hivyo kawapa kiwanja kilicholipiwa kila mitu, leo mnsema nini jamani
 
Mambo mengine nayo ni matatzo, vp hao walo muhuzia hicho kiwanja wao wamepata mapigo gan?
 
Yussuf Manji, ni matumaini yangu kuwa ujumbe huu utakufikia popote ulipo.

Binafsi kama Muislam mwenzako nnachukuwa fursa hii kukukumbusha kuwa hakuna kitu bora kama kukiri na kukubali makosa yako na kuomba toba.

Toba nnayokushauri kuiomba hapa, si kwa serikali wala kwa watawala. Toba nnayokukumbusha mimi kuiomba ni kwa Mola wako Muumba mbingu na ardhi.

Manji uliwakosea sana Waislam kipindi cha nyuma kiasi, kwa kutumia fedha zako kununulia viwanja vya wakf vya Waislam, na kuwa mkaidi kila uliposemeshwa kuhusu hilo.

Viwanja hivyo ambavyo historia inaonyesha kuwa vilikuwa vijengwe chuo kikuu cha kwanza Tanganyika (hilo halikufanyika lakini hilo ni simulizi jingine kabisa ambalo Alama Mohamed Said anaweza kulisimulia vizuri zaidi).

Ulifatwa na Waislam wakikuomba kuwa mkataba ulioingia na BAKWATA ni wa kidhalimu na haufai lakini kwa ukaidi wako hukuwasikiliza na uliwatoa njiani na kuendelea na mkataba wako.

Sakata la viwanja hivyo lilipelekea Waislam kufungwa, kupigwa na kujeruhiwa mpaka walipoona kuwa hawakuwezi kwa ajili ya kutumia fedha zako na nguvu ya baadhi ya waliokuwa BAKWATA, Waislam wakafikia maamuzi makali ya kuwa sasa wanakushtaki kwa Mwenyeezi Mungu.

Miaka imepita ukidhani kuwa shtaka hilo halina meno kwako, lakini leo tunashuhudia ukigeukwa kila upande.

Aibu ya kushikwa na kuwekwa ndani pekee si ndogo kwa mtu wa "caliber" yako. Licha ya kupimwa na kukutwa kuwa u mlevi wa madawa, tumeona sakata la Oysterbay likikutia hasara kubwa sana, tumeona wafanyakazi wako wakifungiwa kuingia kwenye ofisi zao, tunasikia akaunti zako zinafungiwa kila kukicha.

Kama hiyo haitoshi, tunasikia umepatwa na matatizo ya moyo. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur'an tukufu:

Qur'an 2:10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo. Maelezo

Kwa yote hayo bado tu hujashtuka ni kwanini yakukute yote hayo? Nakusihi, zingine zote ni sababu lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, Waislam wameitikiwa dua zao dhidi yako.

Yussuf Manji tunakutaka usiwe katika wale ambao:

Qur'an 2:7. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa. Maelezo

Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni mwingi wa kusamehe na hachoki kusamehe, tunakutaka uombe toba kwa mola wako, umtake radhi, uwatake radhi na Waislam na uwarudishie viwanja vyao na mali zao, tena usithubutu kuvirudisha kwa wale wale waliokuuzia, itakuwa haina maana kabisa. Virudishe kwenye taasisi za Kiislam zenye kumuogopa Mwenyezi Mungu au tumia viwanja hivyo hivyo kuanzisha Manji Islamic Trust Fund na uiendeshe mwenyewe kwa manufaa ya Waislam.

Fata nasaha hizo uone mambo yatavyokunyookea.

Jikumbushe:

Maimamu kumsomea Manji Ahla-badri

Mjue Sheikh Ponda Issa Ponda na Kundecha

Waislamu wataka jengo lao toka Quality Group | Bongo5.com

MKATAMBUGA: WAISLAMU WAMELOGWA NA NANI?

Manji hakuna wakukuokoa katika haya na hayatokwisha ukifanya dharau isipokuwa wewe mwenyewe, anza kwa kumrudia Allah na kumuomba toba.

Na Mwenyeezi Mungu ndiye ajuwae zaidi.
hivi wewe hunaga kazi za kufanya? wewe ni mama wa nyumbani? unapata wapi muda wa kuandika haya mambo ya kigaidi?
 
Waislamu kwa kuombeana mabaya hamjambo! kila kukicha albadirr! hivi mnafikiri Mungu ni wa kuhukumu tu? kazi kubwa ya Mungu ni kusamehe jamani. Ndio maana ktk Ukristo tunaambiwa tusamehe 7 mara 70
 
Kwakweli kutokana na umri wangu, mambo haya nilikuwa siyafahamu , hakika mama yangu umenifumbua macho , kwakweli huyu jamaa anatakiwa alete toba kwa dhulma aliyowafanyia waislam!.
 
FaizaFoxy Mimi nimiongoni kwa mwawatu walioguswa saaana na huu ujumbe
Yaani umempa uhalisia kamili,,kwamaana ya kua HAKUNA KAMA KUMREJEA ALLAH..
Dua ya aliodhulumiwa IPO wazi kabisa kwa Allah
Hongera saaana Dada yangu kwa ukumbusho huu uliompa ndugu yako muislam mwenzio

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Kumuomba Mwenyezi Mungu hakuna ubaya.

Tumewashtakia kwa Mwenyeezi Mungu wote waliohusika, anayesikika ni Manji kwa umaarufu wake, yanayowakuta hao wengine anayajuwa tuliomshtakia.
 
Hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumuombea mabaya binadamu mwigine.
Hakuna katika sisi aliyeomba mabaya, watu wameshtaki kwa Mwenyezi Mungu.

Wapo wanaoomba mabaya, tena wengi tu. Hiyo ni mada nyengine.
 
Yussuf Manji, ni matumaini yangu kuwa ujumbe huu utakufikia popote ulipo.

Binafsi kama Muislam mwenzako nnachukuwa fursa hii kukukumbusha kuwa hakuna kitu bora kama kukiri na kukubali makosa yako na kuomba toba.

Toba nnayokushauri kuiomba hapa, si kwa serikali wala kwa watawala. Toba nnayokukumbusha mimi kuiomba ni kwa Mola wako Muumba mbingu na ardhi.

Manji uliwakosea sana Waislam kipindi cha nyuma kiasi, kwa kutumia fedha zako kununulia viwanja vya wakf vya Waislam, na kuwa mkaidi kila uliposemeshwa kuhusu hilo.

Viwanja hivyo ambavyo historia inaonyesha kuwa vilikuwa vijengwe chuo kikuu cha kwanza Tanganyika (hilo halikufanyika lakini hilo ni simulizi jingine kabisa ambalo Alama Mohamed Said anaweza kulisimulia vizuri zaidi).

Ulifatwa na Waislam wakikuomba kuwa mkataba ulioingia na BAKWATA ni wa kidhalimu na haufai lakini kwa ukaidi wako hukuwasikiliza na uliwatoa njiani na kuendelea na mkataba wako.

Sakata la viwanja hivyo lilipelekea Waislam kufungwa, kupigwa na kujeruhiwa mpaka walipoona kuwa hawakuwezi kwa ajili ya kutumia fedha zako na nguvu ya baadhi ya waliokuwa BAKWATA, Waislam wakafikia maamuzi makali ya kuwa sasa wanakushtaki kwa Mwenyeezi Mungu.

Miaka imepita ukidhani kuwa shtaka hilo halina meno kwako, lakini leo tunashuhudia ukigeukwa kila upande.

Aibu ya kushikwa na kuwekwa ndani pekee si ndogo kwa mtu wa "caliber" yako. Licha ya kupimwa na kukutwa kuwa u mlevi wa madawa, tumeona sakata la Oysterbay likikutia hasara kubwa sana, tumeona wafanyakazi wako wakifungiwa kuingia kwenye ofisi zao, tunasikia akaunti zako zinafungiwa kila kukicha.

Kama hiyo haitoshi, tunasikia umepatwa na matatizo ya moyo. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur'an tukufu:

Qur'an 2:10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo. Maelezo

Kwa yote hayo bado tu hujashtuka ni kwanini yakukute yote hayo? Nakusihi, zingine zote ni sababu lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, Waislam wameitikiwa dua zao dhidi yako.

Yussuf Manji tunakutaka usiwe katika wale ambao:

Qur'an 2:7. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa. Maelezo

Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni mwingi wa kusamehe na hachoki kusamehe, tunakutaka uombe toba kwa mola wako, umtake radhi, uwatake radhi na Waislam na uwarudishie viwanja vyao na mali zao, tena usithubutu kuvirudisha kwa wale wale waliokuuzia, itakuwa haina maana kabisa. Virudishe kwenye taasisi za Kiislam zenye kumuogopa Mwenyezi Mungu au tumia viwanja hivyo hivyo kuanzisha Manji Islamic Trust Fund na uiendeshe mwenyewe kwa manufaa ya Waislam.

Fata nasaha hizo uone mambo yatavyokunyookea.

Jikumbushe:

Maimamu kumsomea Manji Ahla-badri

Mjue Sheikh Ponda Issa Ponda na Kundecha

Waislamu wataka jengo lao toka Quality Group | Bongo5.com

MKATAMBUGA: WAISLAMU WAMELOGWA NA NANI?

Manji hakuna wakukuokoa katika haya na hayatokwisha ukifanya dharau isipokuwa wewe mwenyewe, anza kwa kumrudia Allah na kumuomba toba.

Na Mwenyeezi Mungu ndiye ajuwae zaidi.
Laana imekuisha nini?Si wewe ulikuwa unapambana kuwa ni mwenzenu kipindi wana mgogoro na Mengi?Kweli unafiki upo karibu na wewe kuliko jugula vein. Kotekote unafaa kuwa kafara nyie. Ni rahisi sana kukumezesha haramu wewe provided itaiweka upande tofauti na umchukiaye uchague moja.Utakula tuu haramu kuliko kumpa umchukiae haki yake.For the moment umeahimishia majeshi kitalu kingine ch akupotosha watu, hujatubu hata kazi nzuri uliyomfanyia manji hapa ktk hili jukwaa.Kesho zamu ikibadilika utahamia kumshutumu aliyemnyoosha Manji .Miss you ajuza wangu.....mwaaaaaah
 
Mtoa mada apuuzwe, Hana hoja, Unamlalamkia aliyeuziwa? Kwanini usiwalalamikie waislam wenzako waliouza eneo huku wakijua ni Viwanja vyenu vya Wakfu? Hiyo dual Kwanini hamkwasomea hao Waislam wenzenu kwa kuuza Viwanja vyenu vya Wakfu? Kwa hiyo ulitaka Manji awarudishie eneo lenu alilokwishalinunua kihalali kabisa Halafu pesa alizonunulia na muda alioutumia alipwe na nani? Ungekuwa wewe ungekubali ununue kitu Halafu umrudishie muuzaji Halafu pesa zako na muda uliotumiwa usirudishiwe gharama hizo? Au mliwatumia hao Waislam wenzenu wamuuzie Manji eneo LA Wakfu ili baadae mumtake Manji alirudishe kwenu ili akigoma mumtishie kumsomea dua hadi alirudishe bila kulipwa Fidia ili pesa zake mjinufaishe Nazo? MTOA MADA TOA PUMBA ZAKO HUMU.
 
wauzaji hawakupigwa albadir? mbona hadi leo ndiyo wenye jukumu la kutangaza mwezi umeandama nakugawa tende za msaada toka arabuni?
 
Manji hataomba chochote fedha zitamwongoza kushinda kesi zake, akiongeza mwezi tu atapona alosto arudi kuihudumia yanga.
 
Yussuf Manji ni Muislam na aliwakosea Waislam na ni wajibu wetu kukumbushana.

Toba ni kwa yeyote.
Kwanza kesi ya Manji inayomkabili sasa hivi wala haihusiani na dua zenu mlizomsomea, Manji anatuhumiwa kukutwa na Sare za Jeshi, Kwahiyo unataka kusema kama Manji angewarudishia kile Kiwanja chenu cha Wakfu hizi kesi asingekamatwa nazo?Hivyo Mungu wenu angeweza kumlinda Manji aendelee kuhujumu Nchi? Usiusianishe kesi ya Manji na Zile Dua zenu
 
Back
Top Bottom