Sijui alisoma wapi,kulikua na party tu kwao pale pembeni ubalozi US.
Dah tunaambiwa kuna mgeni ndio karudi toka masomoni Italy,
Du alikuwa kavunjwa kiuno kabisa niliona picha yake tena baada km miaka 15 kajikaza kidogo.
Na uzee sasa,sijui km ndo yeye kafariki