Ni kweli kabisa Mh Tulia Ackson ni mtoto wa Apson Mwang'ondaDu mkuu umeandika kwa kujiamini kama kweli vile
Ni kweli kabisa Mh Tulia Ackson ni mtoto wa Apson Mwang'ondaDu mkuu umeandika kwa kujiamini kama kweli vile
Sidhani kama ni kweli itakuwa ni UzushiNi kweli kabisa Mh Tulia Ackson ni mtoto wa Apson Mwang'onda
Mzee huyo ni mstaafu yupo kijijini anapumzikaJirani yangu wa miaka mingi pale mbezi beach karibu na lile daraja. Nyumba aliikarabati imekuwa nzuri sana, ikategemewa kuwa angeishi hapo.
JPM alipoingia tu pale magogoni bwana mkubwa akahamishiwa Masaki. Nasikia karudi nyumbani Mbeya.
Si kweli. Mwanaye ni Thomas, alikuwa mbunge wa kuteuliwa bunge lililopita.Huyo ni mtoto wake,Mbeya wamemkataa ubunge zaidi ya Mara nne,sasa anaanza kumpenyeza mwanae Dr.Tulia.Wana mbeya kumbuka nyoka mdogo na mkubwa wote wana sumu.
Tofali Fulani za kuchoma hvJirani yangu wa miaka mingi pale mbezi beach karibu na lile daraja. Nyumba aliikarabati imekuwa nzuri sana, ikategemewa kuwa angeishi hapo.
JPM alipoingia tu pale magogoni bwana mkubwa akahamishiwa Masaki. Nasikia karudi nyumbani Mbeya.
Ni kama enzi za kitubu mkuu kiongozi fulani enzi za JK aliwaingiza sana watu wa Iringa na Njombe idarani hadi ikawa kero. Chunguza kwa Makini vijana wengi wa idara wanatokea mikoa hiyo miwili. Ajabu hii!!katika uongozi wake vijana wengi sana wa kutoka wilaya Mbozi waliingia kwenye kitengo
aiseeee !!! ndio kama nilivyonong'onezwa au ?Huyo hapo anaumwa mzee wetu.... View attachment 1199142
Kwamba...???????aiseeee !!! ndio kama nilivyonong'onezwa au ?
Jirani yangu wa miaka mingi pale mbezi beach karibu na lile daraja. Nyumba aliikarabati imekuwa nzuri sana, ikategemewa kuwa angeishi hapo.
JPM alipoingia tu pale magogoni bwana mkubwa akahamishiwa Masaki. Nasikia karudi nyumbani Mbeya.
Ni kama enzi za kitubu mkuu kiongozi fulani enzi za JK aliwaingiza sana watu wa Iringa na Njombe idarani hadi ikawa kero. Chunguza kwa Makini vijana wengi wa idara wanatokea mikoa hiyo miwili. Ajabu hii!!
Yuko masomoni nje ya nchi aliaga
Siku nyingine mkuuKwamba...???????
Yuko kitandani anapigania uhai wake kabla ya 2020Habari wana JF.
Niende kwenye mada hapo juu.
Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.
Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.
Yupo wapi mtu huyu?
Atakuwa amepata RIP doziHivi huyu Lizaboni kapotelea wapi? Kaadimika sana jukwaani.