Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Ujinga huu, Ackson na Apson huoni tofauti yoyote hapo?

Basi utapata shida sana kutofautisha Thomson na Thompson.
Ninguwekea hapa Hansard ya majibu ya naibu Waziri mmoja tens ilijkuwa Siku ile Sugu anatoka jela alimtaja naibu spika zaidi ya Mara tatu kwa jina la mh Tulia Ackson Mwang''onda
 
Ninguwekea hapa Hansard ya majibu ya naibu Waziri mmoja tens ilijkuwa Siku ile Sugu anatoka jela alimtaja naibu spika zaidi ya Mara tatu kwa jina la mh Tulia Ackson Mwang''onda
Sikuwahi kusikia hili
 
lizaboni wa mtaa wa lumumba ndiye aliyekuja na ujinga huu
alianzisha threads takribani tano bila hata ushahidi wa picha za hivyo vikao
Kwamba Apson sio team Lowassa? Alionekana Arusha siku Lowassa akitangaza nia!
 
Alikua na mchepuko wake mmoja anakaa Upanga kilikua chuma kweli kweli
 
Ujinga huu, Ackson na Apson huoni tofauti yoyote hapo?

Basi utapata shida sana kutofautisha Thomson na Thompson.
Majina ya majasusi ni kazi kwelu kuhusisha na ndugu yeyute Hans beseni kitine /hassan Benson kitine
 
Back
Top Bottom