Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,624
Mhh unaamini waandishi wetu wa habari. Marehemu Apson alifariki akiwa matibabu Afrika ya Kusini, na mwili wake uliporudi haukuja mbezi beach.Nimeamini JF Kuna watu waongo wanatulisha matango pori, Yule Mzee umauti umemkuta nyumbani kwake Mbezi Beach daraja la Apson na nyumba ya Masaki alikua ni jirani yangu aliishi kidogo sana na aliuza long time akaenda mbezi beach Mpaka mauti yanamkuta
Mwandosya na Apson wapi na wapi
![]()
TANZIA - Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini
Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha. Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wakewww.jamiiforums.com
View attachment 2087223
Kipindi hicho nyumba yake ilikuwa imeshabomolewa na ujenzi mpya unaendelea. Nyumba yake ya sasa anayoishi Mama mjane ni mpya sio ile aliyokuwa akiishi siku za nyuma.