Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Alifia South Africa na Aliishi hapo hapo mbezi beach hacha ubishi , uongo na ujuaji

Ulisema aliamia oyster bay moja kwa moja Mpaka mauti yanamkuta kumkimbia Jk Mara Jirani yako Mbezi beach umebadilisha upepo 😢😢😢

Rafiki wa baba yako hamjui alipoishi, shame😪😪😪😪😪
Uko sahihi by 100%
 
Kwa mtiririko wa uzi huu hata hicho kiwanja siyo chake, maelezo yake mengi yamejaa udanganyifu.
Muongo huyo mshkaji sijui anapata Faida gani kujikweza na fake ID

MZee Apson tulimpenda sana sisi wana Idara kwa kujichanganya na Ndugu, Majirani , jamaa na Marafiki wa watoto wake na wana idara wenzie bila kujikweza na Kuringia cheo chake tofauti na viongozi wa siku hizi unamkuta ni Naibu waziri, Mkuu wa Wilaya au Waziri mnaishi jirani mtaa mmoja Hakuna salam milele anakupita bara barani na gari full tinted Huku akikuachia vumbi bila Salaam kama vile wataendelea Kua Wanasiasa Milele wakina January ,Mwigulu future Presidents wote Ambao mpo kikaangoni kwenye Vetting ya Uraisi na wengineo wenye kujisikia ,dharau na kunata mjifunze kwa hawa wazee wakina Apson, Kikwete, kinana ,Lubuva na Mabeyo wana idara tuna wazoom kwa ukaribu sana na ndoto zenu za Uraisi

Viongozi wamuaga Mwang’onda Dar

https://habarileo.co.tz/habari/2019-10-125da1b985b20ad



 

Attachments

  • 06D791C4-5D35-4E3B-99D8-FA181AC9E415.jpeg
    06D791C4-5D35-4E3B-99D8-FA181AC9E415.jpeg
    114.6 KB · Views: 19
Back
Top Bottom