simbamsimbazi
New Member
- Jul 13, 2011
- 3
- 10
Uko sahihi by 100%Alifia South Africa na Aliishi hapo hapo mbezi beach hacha ubishi , uongo na ujuaji
Ulisema aliamia oyster bay moja kwa moja Mpaka mauti yanamkuta kumkimbia Jk Mara Jirani yako Mbezi beach umebadilisha upepo 😢😢😢
Rafiki wa baba yako hamjui alipoishi, shame😪😪😪😪😪