Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Nimekuwa nikivutiwa sana na michango ya huyu ndugu Bana hasa pale anapokuwa anatoa ushauri au anapokuwa anaonyesha jinsi anavyo iunga mkono CCM.
Inanipa shaka sana kwani simuoni tena akiwa ktk ubora wake wa kutoa michango yake ya kuisifia CCM.
Mwenye taarifa zake tafadhali
Inanipa shaka sana kwani simuoni tena akiwa ktk ubora wake wa kutoa michango yake ya kuisifia CCM.
Mwenye taarifa zake tafadhali