Sasa unamjua balozi bila kumjua miss bunge Arusha?!!!Hakika Musukuma Kasheku alikuwa na maana yake kuwa ganja iruhusiwe rasmi
Kwani huyu kaomba msamaha?Siyo Kagasheki tena ?
Huo ubalozi wa Chato au wapi? Mbona haujatangazwa? Au kuna balozi za kimyakimya?Au inawezekana kapewa shavu la ubalozi?
Huyu jamaa katuaribia REDET
Tatizo unarukia treni kwa mbele maana kama wewe ni kada wa kweli wa ccm huwezi kusema humjui Balozi Hamis Kagasheki
Acha kudanganya ccm haipati ushindi kupitia sanduku la kura, bali ni wizi, matapeli, hila, ghilba, kujitangaza, kukimbia na masanduku ya kura, kutumia usalama wa taifa kuiba kura, kutumia wakurugenzi, watendaji wa kata, kutumia polisi mpaka uchawi.wakati wa uchaguzi si muda wa kuuliza walipo wanaCCM. kipindi hicho ndicho kinaitofautisha CCM na vyama vingine katika kuusaka ushindi katika sanduku la kura.
Acha kudanganya ccm haipati ushindi kupitia sanduku la kura, bali ni wizi, matapeli, hila, ghilba, kujitangaza, kukimbia na masanduku ya kura, kutumia usalama wa taifa kuiba kura, kutumia wakurugenzi, watendaji wa kata, kutumia polisi mpaka uchawi.
Yupo Bukoba anatarajia kumng'oa Lwakatare 2020!
Kagasheki wa chama gani?!