Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,140
- 127,093
wakati wa uchaguzi si muda wa kuuliza walipo wanaCCM. kipindi hicho ndicho kinaitofautisha CCM na vyama vingine katika kuusaka ushindi katika sanduku la kura.
Hakuna mwanaccm anayetegemea kushinda kura kwa njia ya box la kura, ccm wote kuanzia mwenyekiti wao, tegemeo lao Ni kushinda uchaguzi kwa mbeleko ya tume ya uchaguzi na vyombo vya dola fullstop. Huyo Dr. Bana hamna anayemlipa sasa hivi kwenda kwenye TV kuitetea serikali, hivyo hawezi kwenda kuitetea serikali isiyomlipa chochote. Hakuna mtu yoyote anayeitetea ccm/serikali bila kuwa na maslahi binafsi.