LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,511
Hhahahahha sio kwa stress hizii lolAaah wapi mwanamke aliyeolewa au asiyeolewa utawajua Kwa arguments zao, argument zako za nyuma inaonekana hujaolewa au umeolewa na MTU ambaye hujaridhika naye
Hhahahahha sio kwa stress hizii lolAaah wapi mwanamke aliyeolewa au asiyeolewa utawajua Kwa arguments zao, argument zako za nyuma inaonekana hujaolewa au umeolewa na MTU ambaye hujaridhika naye
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mweeh maskini sheikh yahya wanna be......
Bye Lance
Yaan nimecheka mpaka[emoji16][emoji16]Hhahahahha sio kwa stress hizii lol
Kuna watu wana retarded mind, yani ukiwaza tofauti na wao ni tatizo. Ghafla wanakuwa watabiri wa maisha ya watu, na kukuombea mabaya juu khaa.
Hhahahahha sio kwa stress hizii lol
Muongooo wanaume waoaji wapo ila mnataka matajiriWanaume vivuruge tu hata hao wakuchagua hawako
Ila usikate tamaa wakina Nancy sumary na k-lyn walikuwa na ndoto kama zako na wakafanikiwaMweeh maskini sheikh yahya wanna be......
Bye Lance
Ulichoongea ni kweli, kuna mwanamke nilimuaaproach nikamwambia malengo niliyokuwa nayo pasipo kumficha kilichotokea Mungu ndo anayejua, wanawake wasahiv waliowengi hawana mda wa kukusubiria utumize malengo yako,
My step daughter kuna mahali nimekutag umeona? Ukuje wazap nikupe ubuyu wakeKuna watu wana retarded mind, yani ukiwaza tofauti na wao ni tatizo. Ghafla wanakuwa watabiri wa maisha ya watu, na kukuombea mabaya juu khaa.
Ndo nimeona step momma. Em ukuje unipe huo ubuyu; ngoja siku yetu ya kusutwa tehMy step daughter kuna mahali nimekutag umeona? Ukuje wazap nikupe ubuyu wake
Eti jamani, unajilazimisha kupenda mtu mwisho wa siku kumbe alikuwa anapita tu njia haha
Kiukweli kuna mdada mmoja nilimpenda sana nae alinipenda sana akakubali kubadili dini,na nikapeleka barua kwao ikapangwa mahar tena ya kawaida sana.kipind hicho sikuwa chema kama sasa nilipata kazi Ukraine nilikataa kwenda ila yeye alinishauri sana nikakubali nikaenda tukawa tunawasiliana kama kawaida.before ya kuwa nae nilikuwa na mwanamke mwingne tulipitia maugomv meng sana.nilipo rud tz sijui akili yangu ikawaje nikafanya sherehe pasina kujua na kuoa yule mwanamke wa kwanza na wala Sikh kaa sana nikaletewa barua ya kusitishwa kaz ila sikujali coz nilipewa pesa zote.niliumia sana juu ya hilo yule mwanamke niliepeeleka barua hakujua kama nimeoa akawa yuko na mm kama kawaida bahat nzuri nikapata tena kaz italiy na Niko mpaka sasa kiukweli sina furaha katika ndoa yangu kila wakat yule mwanamke ananijia akiwa analia ndotoni hakuwa kunikosea hata Mara moja.sina shida ya pesa kabisa ila nakosa AMAN YA MOYO NA NAFS.kwa hyo katika mahusiano tujaribu kuwa makini sana katika kuchagua
Mara nyingi tena nyingi Sana kukuta wote mnapendana ni nadra sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
ukimaliza chuo utakuja kumueelewa katoto kazuri alikuwa na maana ganiSiwezi kumshauri mwanamke aolewe na asiempenda kisa tu huyo muoaji anampenda km huyo mtu uliyemsema wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote sawa kulazimisha moyo eti nitampendaga pole pole siwezi acha nibaki tu mwenyeweWadada mama chagueni mumtakae hata ukifika miaka 40 hujaolewa kama una amani na maisha yako na yanaenda Endelea mama Chambua mpaka tuchambuke..Hta ikifka miaka 70 TU utaolewa mgeuke Kina KAPUYA
Huu ndo ukweli mchungu. Na ndiyo pale unapokuja kugundua hata watoto wote sio wako
Weee walikuwa wachepukaji wazuri akiolewa na mwanaume mwaka hana mtoto kimya kimyaWanasema eti mbona wanawake wa zamani waliweza? Wanasahau kuwa hawayajui yaliyokuwa mioyoni mwao......
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu AMANI kama una amani kukaa peke ako AAAAAH kaaa mamaYote sawa kulazimisha moyo eti nitampendaga pole pole siwezi acha nibaki tu mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app