leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,295
- 1,687
Mtu kama humpendi hutamsamehe akikuosea
Hutamvumilia katika magumu yake ugonjwa uchumi nk
Hutafurahia nae tendo la ndoa utatoka nje kumtafuta wa kukufurahisha
Utaishi kinafiki sana usoni tabasamu huku moyoni ni majuto na kilio
Hizo ni hasara nazoziona....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake bana hivi huko kwenye moyo kuna nn.? Mtu anakwambia moyo umegoma.
wanaume wengi tunatamani vitu viwili tu kwa mwanamke umbo lake na rangi yake baasi.hatuangalii amesoma, kabila, dini,ana kazi ,ana nyumba,gari n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
If u have to choose between..Kuolewa na umpendaye kwa dhati au Kuolewa na anayekupenda kwa dhati??
Tatizo dada zangu mlio wengi hamuwaoni masikini wenye vision,mwisho wa siku mnawaona matajiri wapumbavu mf halisi mimi ninayo kwa dada yangu tumbo moja tumezaliwa,sometimes huwa namwaangalia naishia kuakaa kimya.
Mmmmmh huyo mshenzi....ikawaje sasa ukannwaga?ni kweli asemacho, mimi zamani wakati naendekeza moyo nilikuwa na jamaa mmoja akaniambia live kabisa kuwa wanaume wanataka sex tu kwa wanawake, na akanihakikishia kabisa kuwa nipo nae kwa ajili ya sex tu, nilijisikia vibaya sana . na akanimbia hata ukiniachana na ukawa na mwingine pia atahitaji sex tu. hata akupe pesa kiasi gani ila kwako anataka sex tu. NDO MAANA WANAUME wanakuwa na mtu yeyeote yule mradi ana k baasi.
If u have to choose between..Kuolewa na umpendaye kwa dhati au Kuolewa na anayekupenda kwa dhati??
Sent using Jamii Forums mobile app
Naempenda ana nafasi kubwa ya kupata mzigoIf u have to choose between..Kuolewa na umpendaye kwa dhati au Kuolewa na anayekupenda kwa dhati??
Sent using Jamii Forums mobile app
NimeshamjibuAkikujibu nitag
troublemaker 2019. all right received.
Tusilazimishane jamani.....moyo ukigoma umegomajaribu dear, kumpenda anae kupenda faida ni nying sana, zile kero za mahusiano huwa hazipo kabisaaaaa, na with time yale matendo yake mazuri kwako utajikuta umempenda tu.
Tuko vizuri katika hii sekta ya kuigiza furaha ilhali moyo unaunguaWeee walikuwa wachepukaji wazuri akiolewa na mwanaume mwaka hana mtoto kimya kimya
hata watoto 10 mwanaume hawezi gundua mpaka anakufa walikuwa na uzinzi wa kisiri siri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita maombi yako yamefeli vibaya mno.....ukimaliza chuo utakuja kumueelewa katoto kazuri alikuwa na maana gani
Anyway I put my self in your shoes..Inaonesha una sababu zenye nguvu kusimamia unachokiamini.....No comment....
Nimepitia huko kote najua nachokisema....faida na hasara zake nazijua vizuriAnyway I put my self in your shoes..Inaonesha una sababu zenye nguvu kusimamia unachokiamini.....No comment....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,mpaka hapa tumeshaongea lugha moja.Nimepitia huko kote najua nachokisema....faida na hasara zake nazijua vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu mwanaume huwa hapendwi,anaheshimiwa tu,unahitaji mwanaume ambaye unamuadmire,sio laazma humpende wakati mwingine unafanya makosa makubwa kwenye maisha kwa kuolewa au kuo mtu unampenda,sababu ya mwisho kabisa ya maamuz ya kuoa au kuolewa ni hiyo romantic love.marriage sio jambo dogo,wakati moyo unaweza kupenda mtu yoyoteUjue kapeace ishu iko hivi...we unayempenda yy hakupendi na anayekupenda kwa dhati we humpendi.....sijui why hii ishu asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadangu TUMIA AKILI SIO MOYO... KWANN WANAWAKE HAMTUMII AKILI??Tusilazimishane jamani.....moyo ukigoma umegoma
Ingekuwa anaekupenda anauvua ubinadamu na kuuvaa umalaika basi sawa lakini huyo usiempenda usiombe akukosee ndo utapoona mateso ya kuolewa na usiempenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nimekuelewa unatakiwa kuwa na mtu unayempenda tu,kwaho hata akikufanyia ubaya utavumilia kwa sababu unampenda ? hata akiwa anamichepuko utavumilia kwa sababu unampenda ? hata asipokujari utavumilia kwa sababu unampenda ? okay nimekuelewaTusilazimishane jamani.....moyo ukigoma umegoma
Ingekuwa anaekupenda anauvua ubinadamu na kuuvaa umalaika basi sawa lakini huyo usiempenda usiombe akukosee ndo utapoona mateso ya kuolewa na usiempenda
Sent using Jamii Forums mobile app