Yule ambae humtaki ndio mumeo

Yule ambae humtaki ndio mumeo

Been there done that, na hata nikimkataa maskini sio dhambi. Uwe maskini, ila uwe na attributes nyingine za kunifanya niwe na wewe. Ila kufikiri umaskini wako utanivutia; hapana mpendwa. Na hata huyo ambaye leo hii hana kitu, lazima tuangalie kama ana promising future. Kama anajivunia na karidhika na umaskini wake, kwa kweli atapambana tu na hali yake. Hata tulio maskini leo, moyoni tuna kiu na tunafanya juhudi za kutoka huku.
touch down!Ishu sio mwanaume maskini ishu ni kilicho ndani ya huyo maskini,je ana vision gani?where do he see himself in future ili nami kama wife nimsupport?as sisi kama wake tumeitwa wasaidizi na wasaidiz sio tu kwenye home chores bali mpaka kwenye vision za waume!So akiwa na vision na unaona kabisa yuko focused you just go for it hata kama leo yuko maskini
 
Wewe unajitambua na mpo wachache sana wenye mitizamo kama yenu ,huo ndio ukweli wenyewe.
touch down!Ishu sio mwanaume maskini ishu ni kilicho ndani ya huyo maskini,je ana vision gani?where do he see himself in future ili nami kama wife nimsupport?as sisi kama wake tumeitwa wasaidizi na wasaidiz sio tu kwenye home chores bali mpaka kwenye vision za waume!So akiwa na vision na unaona kabisa yuko focused you just go for it hata kama leo yuko maskini
 
touch down!Ishu sio mwanaume maskini ishu ni kilicho ndani ya huyo maskini,je ana vision gani?where do he see himself in future ili nami kama wife nimsupport?as sisi kama wake tumeitwa wasaidizi na wasaidiz sio tu kwenye home chores bali mpaka kwenye vision za waume!So akiwa na vision na unaona kabisa yuko focused you just go for it hata kama leo yuko maskini
Exactly what I wrote.....!
 
Kuna jamaa mmoja last year katikati kwenye mishe tumekutana hukoo.....Basi jamaa full kuzimika na mimi, aaahg! Nikamuona tapeli tu....kumbe ni ananipenda kweli asee, ...tatizo moyo wangu haumkubali kabisa, staff mwenzangu ananiambia iko siku utaukumbuka huu upendo, halafu mkaka mzuri tu, na anafocus na life but duuh moyo bana unagoma/ukagoma mazima![emoji16][emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes we call them fatal mistakes...... ujue mara zote kupenda huwa anaanza mwanaume.... na ikitokea umeanza kumpenda mwanaume wewe mdada na jamaa akakuelewa inakuwa ni bahati sana maana mara zote kinachotokea ni hicho alichokisema mtoa mada.
Lkn mwanaume akikupenda (of course asiwe hata hatambulishiki kabisa) wajibu wako ni kujiridhisha ni kujiridhisha na vigezo vyamsingi vya mtu kuwa mume haya mambo mengine ya roho yako kumpenda mbona huwa yanakuja baadae tena utakuja kumpenda hadi unajishangaa.
 
At the same time mwanaume anasema wacha nikazanie yule ninaempenda nimuoe, inakua haina maana ni kukimbizana tu huyu anampenda yule, yule anampenda yule, na probability ya kukuta mnaopendana kama unavyomaanisha ni ndogo mno.
Walau hisia ziwepo basi sasa hisia hata punje hazisomi....ukalale nae huyo uamke nae ule nae umuhudumie akiugua...inahitaji mtu imara sana atangulize utu na huruma vinginevyo hachukui round anabwaga manyanga.....jamii inaanza kumuhesabia ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada mama chagueni mumtakae hata ukifika miaka 40 hujaolewa kama una amani na maisha yako na yanaenda Endelea mama Chambua mpaka tuchambuke..Hta ikifka miaka 70 TU utaolewa mgeuke Kina KAPUYA
 
Sometimes we call them fatal mistakes...... ujue mara zote kupenda huwa anaanza mwanaume.... na ikitokea umeanza kumpenda mwanaume wewe mdada na jamaa akakuelewa inakuwa ni bahati sana maana mara zote kinachotokea ni hicho alichokisema mtoa mada.
Lkn mwanaume akikupenda (of course asiwe hata hatambulishiki kabisa) wajibu wako ni kujiridhisha ni kujiridhisha na vigezo vyamsingi vya mtu kuwa mume haya mambo mengine ya roho yako kumpenda mbona huwa yanakuja baadae tena utakuja kumpenda hadi unajishangaa.
Exactly mkuu....nakuelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndipo unaposhangaa sasa, kimsingi mwanamke anaweza mpenda mwanaume yeyote akiamua kufumba macho asiangalie kushoto wala kulia. Kinachofanya wasasa wawe wachaguzi si kwa kuwa wapo huru kuangalia design nyengine kila siku. Enzi hizo binti anaambiwa huyu ndio mume wako...na anatulia tulii anazaa na kuwa na familia kabisa bila kelele.
Mhh nyie jmn can u even kiss mwanamke usiempenda?..
Haha sio kazi rahisii kukubali js bcz the guy anakupenda
Bora kupendana japo kidogo
 
Back
Top Bottom