Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,315
- 50,209
Tunatumia moyo na akili, mapenzi ya moyo peke yake yanafanywa na visichana vidogo sio mimi mkuuMTU ukimweka moyoni kumwcha ni ngumu sana sio rahis hata kidogo kama unavyodhani, ndo maana tunashauriwa tushiweke watu moyoni kirahis rahisi
Ntakupenda lakini ukileta upuuzi nakuacha asbh tu
Sent using Jamii Forums mobile app