Missing youNa ndivyo inakuwaga lakini mimi nashauri wadada mtizame mioyo yenu iko wapi ikiwezekana olewa na unaempenda
Kuishi na mtu kisa tu ye anakupenda sana lkn wewe humpendi kivile ni mtihani mzito sana kuzidi matusi ya humu kwa masingle mama
Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba bado uja msikiliza mtoa mada
Moyo wa mtu ni kichaka haujui anawaza nin,so mapenzi ni kama kamari humjui mkweli na player
Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo wa mtu ni kichaka haujui anawaza nin,so mapenzi ni kama kamari humjui mkweli na player
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wanaume wananifurahishaga...wanapenda sana story za oooh Kuna demu nilimtokea akanichomolea but now ukimuona maziwa yamelala, tako limeisha, sijui kazalishwa kaachwa....hivi nyie wanaume hamfuliagi??
Mi kuna boyfriend wangu alinitenda kinoma, miaka mitatu imepita, now kila akiona Witie huyo anakuja full kula kona...kwanza ni kachoka balaa, na huyo demu aliyekuwa ananidolishia kamwibia, kamloga kala kona!... Full kufulia mkaka wa watu na kila akiniona anatoka baruu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante baba , sio naitwa mke wangu mie nanyonga mdomo tabu yote ya nini!Muhimu AMANI kama una amani kukaa peke ako AAAAAH kaaa mama
Mshauri hata kwa mafumbo kaa kimya atakuletea wajomba nyumbani na utawatunza na kusomeshaTatizo dada zangu mlio wengi hamuwaoni masikini wenye vision,mwisho wa siku mnawaona matajiri wapumbavu mf halisi mimi ninayo kwa dada yangu tumbo moja tumezaliwa,sometimes huwa namwaangalia naishia kuakaa kimya.
Shenzi kabisa, uliendelea naye kweli kama mie pale tungeagana mileleni kweli asemacho, mimi zamani wakati naendekeza moyo nilikuwa na jamaa mmoja akaniambia live kabisa kuwa wanaume wanataka sex tu kwa wanawake, na akanihakikishia kabisa kuwa nipo nae kwa ajili ya sex tu, nilijisikia vibaya sana . na akanimbia hata ukiniachana na ukawa na mwingine pia atahitaji sex tu. hata akupe pesa kiasi gani ila kwako anataka sex tu. NDO MAANA WANAUME wanakuwa na mtu yeyeote yule mradi ana k baasi.
Yaani labda aliyezaliwa mjini hajawahi sikia lakini tuliozaliwa vijijini hizo za kuzaa nje nyingi sana na ni siri kubwaTuko vizuri katika hii sekta ya kuigiza furaha ilhali moyo unaungua
Huu mchezo unachezwa mpk saiv sema wa zamani walituzidi usiri na adabu kidogo kwa waume zao lkn ndo walikuwa wanazaa hata watoto 5 nje 1 ndo wa ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli Kwa 100, wako wanaume wanaotaka wanawake Kwa ajili ya kujenga maisha, na maisha ni zaid ya sexni kweli asemacho, mimi zamani wakati naendekeza moyo nilikuwa na jamaa mmoja akaniambia live kabisa kuwa wanaume wanataka sex tu kwa wanawake, na akanihakikishia kabisa kuwa nipo nae kwa ajili ya sex tu, nilijisikia vibaya sana . na akanimbia hata ukiniachana na ukawa na mwingine pia atahitaji sex tu. hata akupe pesa kiasi gani ila kwako anataka sex tu. NDO MAANA WANAUME wanakuwa na mtu yeyeote yule mradi ana k baasi.
Wabarikiwe wote wajuao kula na vipofu......hahahaha ngoja nisubiri mapovuYaani labda aliyezaliwa mjini hajawahi sikia lakini tuliozaliwa vijijini hizo za kuzaa nje nyingi sana na ni siri kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujanielewa wewe,Kama nimekuelewa unatakiwa kuwa na mtu unayempenda tu,kwaho hata akikufanyia ubaya utavumilia kwa sababu unampenda ? hata akiwa anamichepuko utavumilia kwa sababu unampenda ? hata asipokujari utavumilia kwa sababu unampenda ? okay nimekuelewa
Una sababu. Umesema yupo vizuri tu... Naassume yupo well equipped both financial and other key aspects! Inaonekana kuna vitu very minor vinakufanya usiwe nae karibu. Huwezi amini mapenzi yanatengenezeka kwa asilimia kubwa na theluthi ndio natural.
MTU ukimweka moyoni kumwcha ni ngumu sana sio rahis hata kidogo kama unavyodhani, ndo maana tunashauriwa tushiweke watu moyoni kirahis rahisiHujanielewa wewe,
Unaempenda ni rahisi kumvumilia, kumsamehe lkn haizuii kumuacha na moyo unaridhia
Usiempenda utaishi kinafiki sana ndani yako hayumo kabisa akikosea hutamsamehe na unaweza kuishi nae muda mrefu tu kuliko huyo unaempenda ....lakini kinafiki
Sijui umenielewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Then kote unakuwa mnafiki kwa sababu huyu unayempenda nae anakuumiza hausemi kwa sababu unaogopa kumpoteza na wenyewe unakuwa unafiki.ww unafikiri wanawake wanaotoka nje ya ndoa nikwasababu hawawapendi waume zao ? wapo wanaotoka kwa sababu waliwapenda sana waume zao na kuwaheshimu lakin waume zao hawakujali hisia zao na hao wapo wengi zaidiHujanielewa wewe,
Unaempenda ni rahisi kumvumilia, kumsamehe lkn haizuii kumuacha na moyo unaridhia
Usiempenda utaishi kinafiki sana ndani yako hayumo kabisa akikosea hutamsamehe na unaweza kuishi nae muda mrefu tu kuliko huyo unaempenda ....lakini kinafiki
Sijui umenielewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijute nini sasa wakati mimi ndio nafuatwa ??...na kwa taarifa yako mpaka sasa hivi yupo tu anadeal na mimi hajakata tamaa!...ila moyo wangu ndio hivo umegoma!
Sent using Jamii Forums mobile app
Then kote unakuwa mnafiki kwa sababu huyu unayempenda nae anakuumiza hausemi kwa sababu unaogopa kumpoteza na wenyewe unakuwa unafiki.ww unafikiri wanawake wanaotoka nje ya ndoa nikwasababu hawawapendi waume zao ? wapo wanaotoka kwa sababu waliwapenda sana waume zao na kuwaheshimu lakin waume zao hawakujali hisia zao na hao wapo wengi zaidi