Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
You will leave alone ukizeeka hutokuwa na support kaa basi mwenyewe mpaka siku ya mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
That is lame excuse, how do you know you will get there?
You will leave alone ukizeeka hutokuwa na support kaa basi mwenyewe mpaka siku ya mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi tena nyingi Sana kukuta wote mnapendana ni nadra sana!At the same time mwanaume anasema wacha nikazanie yule ninaempenda nimuoe, inakua haina maana ni kukimbizana tu huyu anampenda yule, yule anampenda yule, na probability ya kukuta mnaopendana kama unavyomaanisha ni ndogo mno.
That's my girl hebu waambie. Tatizo wanaume wasio na hela wanakuwa insecure kama ulivyosema yaani huwa wanaona wenzao wenye pesa hawana haki ya kupendwa au sijui namma gani, yaani ni marufuku kuwakataa, ukiwakataa tu we mpenda pesa loh yaani wanajikutaga wao tu ndio wana mapenzi ya kweli na wako loyal haha
Duuuh...hujisikii mpweke?Yaap, siwezi maigizo, nimeamua kuishi maisha yangu, nikitoka asubuhi nafunga mlango nikirudi usiku nafungua. Net mara mwisho kuikunja ni weekend iliyoisha nafanya kutumbukia tu kitandani. Kwani shida nnini,
Teh huku kwetu kuolewa is everything buana
Hebu kafie mbele huko...umeambiwa mi natafuta bwana humu?Kuwa basi tuone mwisho wako...katika wanawake wabovu na hawafai kuoa ni kama wewe...yaani mwanamke jasiri kama wewe hata hofu huna...hapana aisee...unasema sema tu bila kufikiria...hata bure sioi...
As time goes hizi mambo zitaisha, watu wanapeana pressures mpaka mtu unajikuta unaingia kwenye relationships ambazo ni full of headaches.
We should learn to live our lives for us not for them.
Halafu sasa tulivyokuwa wanafiki, ukiwa kwenye ndoa ina shida wale wale waliokupa pressure wanafurahia behind your back.
Sawa mkuu..Hakika;Usihukumu kwa mwonekano. Moyo mwema waweza kufichika ndani ya mwili mchafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe afu yakikushinda ukaamua kukaa kando; bado utasikia "mwanamke mpumbavu" mweeh
Exactly, Bongo humanity ni 0%.
Ukiwin ndoa ikachangamka utasikia anajifanya wanapendana, katusahau ndugu zake and so so.
Hakuna maisha utakayoyaishi kama utataka kuishi kwa kuwafurahisha wengine.
Tena kuna wengine wanakulengesha machakani ili uwe kama wao.
As time goes hizi mambo zitaisha, watu wanapeana pressures mpaka mtu unajikuta unaingia kwenye relationships ambazo ni full of headaches.
We should learn to live our lives for us not for them.
Halafu sasa tulivyokuwa wanafiki, ukiwa kwenye ndoa ina shida wale wale waliokupa pressure wanafurahia behind your back.
Hahaha haki nimecheka. Kweli kabisa ukisema ndoa yako ipo vizuri utaambiwa mnafiki au subiri ifikishe miaka kadhaa. Yani ukiishi kufuatisha hii jamii ni imekula kwako
Hapo kwenye kumalizia hapahitaji ufundi unaweza ukaharibu...Naomba kuwasilisha...[emoji30][emoji30]View attachment 1048133
Katika laana aliyopewa mwanamke ni tokua na uwezo wa kutokutumia akili, mambo mengi wanayofanya wanawake wanatumia moyo (hisia) na sio akili, na hiyo ndo tofaut kati ya mwanamke na mwanaume, nakushaur jifunze kushirikisha akili na usitegemee moyo, akili lazima iicontrol moyo na sio moyo ucontrol akiliTrust me kuna muda mapenzi yanagoma kabisa kujengeka. Angalau ndoa za wazee wetu ambazo unajikuta tu ndoani na huna option so unapambana na hali yako. Siku hizi tuna uhuru wa kuchagua tumtakaye; moyo ukigoma unauacha tu
Na upendo wa kweli una sura yakeMara nyingi tena nyingi Sana kukuta wote mnapendana ni nadra sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli katika harakati za kujua mwanamke ni mtu gani nilizamia grup moja la whatsapp la wanawake tupu..hakika wakiwa pamoja ndio utajua kweli akili ya mwanamke ni tofaut sana na 80% inaendeshwa kwa hisia tu.Katika laana aliyopewa mwanamke ni tokua na uwezo wa kutokutumia akili, mambo mengi wanayofanya wanawake wanatumia moyo (hisia) na sio akili, na hiyo ndo tofaut kati ya mwanamke na mwanaume, nakushaur jifunze kushirikisha akili na usitegemee moyo, akili lazima iicontrol moyo na sio moyo ucontrol akili
What made u change ur opinion over this matter??Anyway at least u have tried enough...Mimi pia nilikuwa nafikiria kama wewe ila miaka ya karibuni nimebadili mawazo. It's not always the case, speaking from experience
Yes!!That's exactly what I meant!!!we can't force love to happen but we can learn to love someone..Most of times wanawake huwa tunajifunza kupenda kwa sababu huwa tunatongozwa; unlike nyie ambao mnatufuata. Jamaa anakufuata from nowhere; anaanza kukuimbisha, caring kwa sana, mnaspend some times ; taratibu unajikuta kamoyo kanashtuka umefall.
Sasa mwingine anakufuata pamoja na yote hayo; yani moyo unagoma tu bila sababu. Sifa njema anazo but moyo hautaki kabisa. Exactly what you wrote...