Dah mjomba mjomba mi nitaolewa ila sio ambaye hana gari pesa na nyumba.
Mmjomba:mwanangu vyote hivyo mtapata kama wote mtakuwa mnakazi .
Kiherehere: hapana siwezi.
Kuanzia akicheka anamwanya mpaka nyota yangu na pipi.
Mmjomba:mwanangu zasiku
K:Salama
M:mwanangu joyce ameolewa tena alienda kwa mumewe ni mjamzito na sasa amejifungua watoto mapacha wewe ndoa bado tu?
K:mmjomba na tafuta bado
M:nini ambacho hukipati ni wenzio wao wanapata na kumiliki.
K:mwanaume mwenye hela haya mmjomba nikutakie siku njema haya mwanangu (ukute hapo ka 25 kako au ka 30 kako.)
Baby i love u ya chotara au pipi ya marlow na rita mpaka diamond 2012 ya emoyo wangu na 2011 mbagala akiwa pipi machungwa bado hanunui.
Hapo raynavy na harmonize na hawa wengine wakina zari hatuwajui bado kuzaa na daimond.
M : hujaolewa tu ???(ulikuwa mshangao mmoja sasa miwili hadi ??? Sita)
K: bado natafuta yule mtu(unapewa kibomu)
M:Joy sasa anamtoto wa pili wale mapacha wapo sasa la pili .
K
🙁unakodoa macho kwa aibu dah mmsalimie haya )
K: na 30 au na 35 na mwenzangu ana 25 anawatoto watatu hii niaibu.
Tokea ee roho yangu mpaka your my number one ya davido na dai upo tu mmjomba wako kakuchoka mazungumzo yapo hivi.
M:hujambo mwanangu
K:sijambo (badala akuulizie wewe yupo hivi)
M:mama hajambò je wengine haya kuna mahali naenda tutaonana.
K: haya ila mbona haraka?
M: nawahi mahali usijali iko siku tutakaa tuonge zaidi au karibu nyumbani.
K: asante sana.
Ua my number one hadi tetema naye mmjomba wako akikuona anakimbia maana anadhani umelogwa.
Mtabisha ila sisi tunaojiisi wazuri wasomi wachambua mambo tunashida sana watu wameolewa uliosoma nao primary secondary o-level hadi A kama ulipitia sie washort kati diploma and certificate makazini kazi kujiremba tu nakwenda harusi za wenzako.
Haya bhana kwangu kuwafungua macho hapa ndio nimekomea endeleeni kuchagua Yesu atakukuta ukichagua atakuuliza wewe 2006 nilikupa Geofrey ukamkata ulipomaliza o level na 2007 -2008 nilikupa matayo ila hujamkubali 2009 -2011 nilikupa wengi tu akiwemo jimmy na 2012-2019 bado nakupa tu naupo single aise mwisho huu wadunia nimekuja chukua wangu
Sio mke amekuja kuwahukumu walio hai na wafu asepe nawale wazuri tu wewe bado unashangaa unatafuta Mr Right kumbe Mr right niwakumtengeneza wewe mwenyewe hao wote unaowaota unajua kwanini huwapati ni wametengenezwa na wenzako.
Sent using
Jamii Forums mobile app