witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Jamani ukiishi humu duniani kwa kuifata jamii, umekwisha!Hehehe afu yakikushinda ukaamua kukaa kando; bado utasikia "mwanamke mpumbavu" mweeh
Fanya unayojisikia kufanya humu duniani bila kujali watanionaje ili mradi huvunji sheria!...maisha ni mafupi na no matter what lazima uitafute furaha! Hakuna wa kukupa furaha humu duniani!
I wish ningepata hizo guts, moyo wangu ungefurahi sana sana!
Sent using Jamii Forums mobile app