technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,557
- 57,857
Sikusikii tena kwenye media kama ilivyokuwa enzi za utawala wa baba yako nini kimekupata?
Nilisikia wanatangaza mikoa masikini Tanzania yote kutoka kanda ya ziwa sikukuona hata ukitokea kuwatetea Wanachi wa pwani ambao wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa
Hivi kweli ulikubali kuwa Mwanza ni masikini kuliko Pwani?
Wanachi wa pwani wanaoshinda vibalazani wanapiga story ndio waje wawe matajiri kuliko Mwanza ??
Nini tatizo umepotea kwa media?
Hata bunge lililokuwa Giza sikuona jitiada zako kuwasemea wanyonge wa pwani?
Au tumbua majipu imekukumba?
Au ulitaka nafasi ya uwaziri ikakosa ukasusa??
Bado sijaelewa nini Tatizo?