Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

1472458402047.jpg

Sikusikii tena kwenye media kama ilivyokuwa enzi za utawala wa baba yako nini kimekupata?

Nilisikia wanatangaza mikoa masikini Tanzania yote kutoka kanda ya ziwa sikukuona hata ukitokea kuwatetea Wanachi wa pwani ambao wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa

Hivi kweli ulikubali kuwa Mwanza ni masikini kuliko Pwani?

Wanachi wa pwani wanaoshinda vibalazani wanapiga story ndio waje wawe matajiri kuliko Mwanza ??

Nini tatizo umepotea kwa media?
Hata bunge lililokuwa Giza sikuona jitiada zako kuwasemea wanyonge wa pwani?

Au tumbua majipu imekukumba?

Au ulitaka nafasi ya uwaziri ikakosa ukasusa??

Bado sijaelewa nini Tatizo?
 
Shida yako Rizwan Kikwete au watu wa Pwani?
 
Toka mfunga gidamu za viatu vyake apate kazi nyingine na kubwa amepatwa na mshtuko maana walizoeana sana na sasa hawaonani sana
 
Dah siamini kama hata Kaka February nae kakaaa kimya hivyo aiseeeee, dah siasa hizi, hivi na yule dogo aliyetukana sana kipindi kile na kuweka clip kwenye social media kaishia wapi? Yule sijui alikua chipukizi wa Taifa...kibonge hivi
Hawa watu wamefutika kabisa
 
Dah siamini kama hata Kaka February nae kakaaa kimya hivyo aiseeeee, dah siasa hizi, hivi na yule dogo aliyetukana sana kipindi kile na kuweka clip kwenye social media kaishia wapi? Yule sijui alikua chipukizi wa Taifa...kibonge hivi
Yupo Fedha Boys sijui 😀😀anasoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom