Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,635
mkuu mie Tandale sio kwetu,mie niko Iramba kwa Mwigulu Nchemba,uku niko kwenye tembe langu nakula upepo wa ziwa Tulya!Mbona Riz Yupo Tatizo Unashinda Sana Tandale
mkuu mie Tandale sio kwetu,mie niko Iramba kwa Mwigulu Nchemba,uku niko kwenye tembe langu nakula upepo wa ziwa Tulya!Mbona Riz Yupo Tatizo Unashinda Sana Tandale
Either way kuna tatizo kwani?!Hizo ela zilitoka mfukoni mwa magu au ni kodi za watanzania?
Kweli kabisa mkuuKila nabii na zama zake. Zama za Riz zimekwisha
Ujumbe kwa hisani ya watu wa LumumbaNon sense Mbunge yupo anapiga kazi kwa niaba ya watu wa Chalinze umekosa cha kufanya leo asubuh unaanza umbea umbea na majungu ya kuzungumzia watu. Stop negligence
Mkuu vipi tena unarusha ngumi hewani?Non sense Mbunge yupo anapiga kazi kwa niaba ya watu wa Chalinze umekosa cha kufanya leo asubuh unaanza umbea umbea na majungu ya kuzungumzia watu. Stop negligence
Non sense Mbunge yupo anapiga kazi kwa niaba ya watu wa Chalinze umekosa cha kufanya leo asubuh unaanza umbea umbea na majungu ya kuzungumzia watu. Stop negligence
Amejificha maana majipu aliyo nayo yakitumbuliwa yote ata pass awayYupo anakula bata , sasa hivi ataki headline
huyu jamaa kweli is in his thirties? Mbona inaoneka kamzidi lemutuz kidogo?Huyu hapa anakabidhiwa gari la wagonjwa kwa ajili ya wilaya/jimbo lake la Chalinze lililotolewa na Anko Magu.View attachment 331078
Ndio mlivyofundishwa huko kwenu?kwamba kusema ukweli ni wivu wa kike.??Acha Wivu Wa Kike
Hapana..nadhani ni kwasababu wana mahaba ya kupakatana!!!kwani RC naye anaishi msoga enhee?
Ujumbe huu umeletwa kwenu kwa hisani ya Lumumba Buku 7Jaribu kwenda Chalinze, facebook, Istagram na Twiter huko pia hakosekani, au unahamu tu kusikia akisemwa ya kweli na ya uongo? MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI...au Mange tu akiongea ndo awe na ushahidi nyinyi mkiongea muaminiwe, msitujazie server.
Na Asante kwa Kunisoma.Ujumbe huu umeletwa kwenu kwa hisani ya Lumumba Buku 7
Viatu?Hapana..nadhani ni kwasababu wana mahaba ya kupakatana!!!
Hapa sasa kama atafungua kibuyu atatambua kwamba ya kale yalikua maovu...God blec Mh. JPM.! SalutiiJuzi alionekana Star Tv akikabidhiwa gari Toyota Landcruiser Hardtop nyeupe kwaajili ya wagonjwa wa jimbo lake la Chalinze, Msaada ulitolewa na Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mheshimiwa Dr John Pombe Joseph Magufuli kwa kuwajali Watanzania wa jimbo hilo.