Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Dah siamini kama hata Kaka February nae kakaaa kimya hivyo aiseeeee, dah siasa hizi, hivi na yule dogo aliyetukana sana kipindi kile na kuweka clip kwenye social media kaishia wapi? Yule sijui alikua chipukizi wa Taifa...kibonge hivi
Walikua wakijiita watoto wa ikulu
 
View attachment 389718
Sikusikii tena kwenye media kama ilivyokuwa enzi za utawala wa baba yako nini kimekupata?

Nilisikia wanatangaza mikoa masikini Tanzania yote kutoka kanda ya ziwa sikukuona hata ukitokea kuwatetea Wanachi wa pwani ambao wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa

Hivi kweli ulikubali kuwa Mwanza ni masikini kuliko Pwani?

Wanachi wa pwani wanaoshinda vibalazani wanapiga story ndio waje wawe matajiri kuliko Mwanza ??

Nini tatizo umepotea kwa media?
Hata bunge lililokuwa Giza sikuona jitiada zako kuwasemea wanyonge wa pwani?

Au tumbua majipu imekukumba?

Au ulitaka nafasi ya uwaziri ikakosa ukasusa??

Bado sijaelewa nini Tatizo?
Anajiandaa na ukuta septemba mosi
 
Lengo lake moja tu na limetia "Rais hatoki kaskazini" kamaliza shughuli yake kaiacha nchi mikononi salama kwa mzee Magufuli sasa anajenga jimbo lake.
 
Jidanganyeni tuu
MKUU WAKO WA KAZI ALISHATAMKA HADHARANI KUWA ATAMLINDA SASA UNATAKA KUPINGANA NAYE AMA NINI KALAGABAHO


WEWE E NDELEA KUISHI KWA MATUMAINI KUWA UTATOKA KWENYE LINDI LA UMASKINI ULIONAO AWAMU HII............................. UTANGOJA SANA HAO WATU WAKAMATWE
SIJUI KINA LOWASA SIJUI NINI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! AAAH WAPI
 
Hivi lengo lako ni kuuliza alipo riziwani au kusema watu wa pawani ni maskini kwa sababu wanakaa vibarazani?.

Maana naona umechanganya habari mbili zisizowiana.

Riziwani ni mbunge wa chalinze na siyo pwani sasa unapotaka asimame aitetee pwani kana kwamba ni mbunge wa pwani napata mashaka na uzi na uelewa wako.
 
MKUU WAKO WA KAZI ALISHATAMKA HADHARANI KUWA ATAMLINDA SASA UNATAKA KUPINGANA NAYE AMA NINI KALAGABAHO


WEWE E NDELEA KUISHI KWA MATUMAINI KUWA UTATOKA KWENYE LINDI LA UMASKINI ULIONAO AWAMU HII............................. UTANGOJA SANA HAO WATU WAKAMATWE
SIJUI KINALOWASA SIJUI NINI AAAH WAPI
Kawaida mbna hakuna jipya isipokua kuisoma namba kama unavyoisoma wewe na hao wabadhilifu wenzako swine kaaa kimya rungu kakabiziwa mwenyeji wa kanda ya ziWa NGOSHA
 
Lengo lake moja tu na limetia "Rais hatoki kaskazini" kamaliza shughuli yake kaiacha nchi mikononi salama kwa mzee Magufuli sasa anajenga jimbo lake.
Acha upuuzi ubaguzi peleka Lumumba uko!!
 
Umepanick braza
1472468155346.jpg
mwangalie enzi za jk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom