UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Walikua wakijiita watoto wa ikuluDah siamini kama hata Kaka February nae kakaaa kimya hivyo aiseeeee, dah siasa hizi, hivi na yule dogo aliyetukana sana kipindi kile na kuweka clip kwenye social media kaishia wapi? Yule sijui alikua chipukizi wa Taifa...kibonge hivi
Anajiandaa na ukuta septemba mosiView attachment 389718
Sikusikii tena kwenye media kama ilivyokuwa enzi za utawala wa baba yako nini kimekupata?
Nilisikia wanatangaza mikoa masikini Tanzania yote kutoka kanda ya ziwa sikukuona hata ukitokea kuwatetea Wanachi wa pwani ambao wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa
Hivi kweli ulikubali kuwa Mwanza ni masikini kuliko Pwani?
Wanachi wa pwani wanaoshinda vibalazani wanapiga story ndio waje wawe matajiri kuliko Mwanza ??
Nini tatizo umepotea kwa media?
Hata bunge lililokuwa Giza sikuona jitiada zako kuwasemea wanyonge wa pwani?
Au tumbua majipu imekukumba?
Au ulitaka nafasi ya uwaziri ikakosa ukasusa??
Bado sijaelewa nini Tatizo?
Yuko kwenye rada siku mingi tena kimya kimya ndio maana unasikia kikwete akitoa mafumbo kila kukicha kua usimuuzi sana rafiki ako etcyuko anapambana kuamisha maiti ili makaburi yakifukuliwa kukutwe hamna kitu kaburini.
Jidanganyeni tuuWEWE hao hawaguswi
si baba yake
MKUU WAKO WA KAZI ALISHATAMKA HADHARANI KUWA ATAMLINDA SASA UNATAKA KUPINGANA NAYE AMA NINI KALAGABAHOJidanganyeni tuu
Upi wa magu au??Ndio yuko anaisoma namba kwa kutekeleza wajibu wake.







Kawaida mbna hakuna jipya isipokua kuisoma namba kama unavyoisoma wewe na hao wabadhilifu wenzako swine kaaa kimya rungu kakabiziwa mwenyeji wa kanda ya ziWa NGOSHAMKUU WAKO WA KAZI ALISHATAMKA HADHARANI KUWA ATAMLINDA SASA UNATAKA KUPINGANA NAYE AMA NINI KALAGABAHO
WEWE E NDELEA KUISHI KWA MATUMAINI KUWA UTATOKA KWENYE LINDI LA UMASKINI ULIONAO AWAMU HII............................. UTANGOJA SANA HAO WATU WAKAMATWE
SIJUI KINALOWASA SIJUI NINI AAAH WAPI
Acha upuuzi ubaguzi peleka Lumumba uko!!Lengo lake moja tu na limetia "Rais hatoki kaskazini" kamaliza shughuli yake kaiacha nchi mikononi salama kwa mzee Magufuli sasa anajenga jimbo lake.
Chalinze ipo Dodoma?Upi wa magu au??![]()
Umepanick braza![]()
![]()