samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,968
Watu waliozoea kuiba kura hawawezi kujibu maswali magumu kama haya,kwao uadilifu sio msingi wao.Magu anamkabidhi yeye kama Nani? Si angemkabidhi Mkurugenzi wa mji mdogo?
Watu waliozoea kuiba kura hawawezi kujibu maswali magumu kama haya,kwao uadilifu sio msingi wao.Magu anamkabidhi yeye kama Nani? Si angemkabidhi Mkurugenzi wa mji mdogo?
Alichumia kivulini analia juani!Yupo anakula bata , sasa hivi ataki headline
Nasikia msoga ni jamhuri tosha, waende wapi tena?Yupo msoga na mshua wanatafuta nchi ya kwenda kula raha
MkuuNi kodi lakini Rais amekabidhi kwa naiba ya watanzania wote mkuu wangu
tatizo lako kichwa chako hua unakichomeka kwenye shimo la choo ndio maana unaandika upupu every now and then try and write some senses you imbecile..Mkuu hiyo kamuulize makonda atakupa jibu mujaraabu
tatizo lako kichwa chako hua unakichomeka kwenye shimo la choo ndio maana unaandika upupu every now and then try and write some senses you imbecile..Mkuu hiyo kamuulize makonda atakupa jibu mujaraabu
Naomba kujua aliko mwanaccm mwenzangu Mh.Ridhiwan Kikwete.Mbunge wangu umekuwa kimya sana .
Mmama Yetu Salma pia simsikii. Kumbe nguvu ni ya dola na siyo mtu binafsi, personal initiative, self esteem and the like!Naomba kujua aliko mwanaccm mwenzangu Mh.Ridhiwan Kikwete.Mbunge wangu umekuwa kimya sana .
hana mtetezi bungeni si unajua alipitia mlango wa kushoto,so hana pointi bungeni ndio maana silence imemtawala sanaNaomba kujua aliko mwanaccm mwenzangu Mh.Ridhiwan Kikwete.Mbunge wangu umekuwa kimya sana .
Vipi hujaamboo wewe mrembo?Jaribu kwenda Chalinze, facebook, Istagram na Twiter huko pia hakosekani, au unahamu tu kusikia akisemwa ya kweli na ya uongo? MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI...au Mange tu akiongea ndo awe na ushahidi nyinyi mkiongea muaminiwe, msitujazie server.
well said.Acha wapumzike kazi walioifanya sio ndogo! Wameifanya nchi imekuwa hovyo na kama haina mwenyewe! Wameteneneza mitandao wa wezi wa mali ya umma kila sehemu! Wafanyabiashara walikuwa hawaguswi na hawalipi kodi hasa mafuta na containers za wafanya biashara wa kariakoo! Ule usemi wa zamu yetu hatukuuelewa mwanzoni