kwa uandishi huo wa kire badala ya kile hapo idara ya habari maelezo ungefanya vitukoHIVI, jamani chalinze mzee Kikwete hakupereka hata Gar ya kubebea wagonjwa? Mpaka mzee wangu wa Magu aitoe kwa haraka? haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zama za Ridhiwani zimekwisha, SASA ni dhama zetu wote kutesa, maana mzee wa Magu amesema tufuraie uraisi wake, we kipindi kile mpka rafiki yangu kipenzi tuliyekuw kuticheza pamoja pale NAMANGA MAKANGIRA, alinisahu, hata kunipereka kwa mzee anipe hata uandishi wa habari pale maelezo. namlaani sana maana nilikosa pesa kipindi kire utawala uhuuu mi nalia sanaaa.
Kodi za watanzania zimerudishwa kwa WATANZANIA.Hizo ela zilitoka mfukoni mwa magu au ni kodi za watanzania?
Kamuulize mkeoHizo ela zilitoka mfukoni mwa magu au ni kodi za watanzania?
Nakuuliza wewe maana wewe ndiye mke wanguKamuulize mkeo
Umenena mkuu, kila zama na story zakeSisi ndio tumepunguza kumjadili ila yeye ni kama kawaida na Maisha yake. Kila utawala na mtu wake wa kuzushiwa hata enzi za Mzee Mwinyi yalipoingia Magari ya abiria DCM wazushi wakayaita ni kifupisho cha David Cleopa Msuya (PM) wa wakati huo, Zikaja bia za kopo za Stella tukaambiwa ni za Mama Sitti Mwinyi na hivi karibuni kila jengo tutaambiwa la Mama Janet Magufuli

Mkuu huyu mkeo anapenda Sana figisufigisu.Nakuuliza wewe maana wewe ndiye mke wangu
Kama mm mkeo njoo basi tuongee nyumbaniNakuuliza wewe maana wewe ndiye mke wangu

Magu anamkabidhi yeye kama Nani? Si angemkabidhi Mkurugenzi wa mji mdogo?Huyu hapa anakabidhiwa gari la wagonjwa kwa ajili ya wilaya/jimbo lake la Chalinze lililotolewa na Anko Magu.View attachment 331078
Yupo na Membe na jerry wanauguza majeraha ya ukawa, ile tsunami ya lowasa haikuwahi kutokeaYupo anakula bata , sasa hivi ataki headline
Kwani kikwete alivyokuwa akijinadi kwa "Mamilioni ya kikwete" hizo pesa katoa kwenye mifuko yake?Hizo ela zilitoka mfukoni mwa magu au ni kodi za watanzania?