Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 17,564
- 27,633
Primi Mushi au Edward Mushi anajulikana vilevile kama Kuringe. Ni mkazi wa Mbezi Makonde na mmiliki wa Kuringe Social Hall na Hall Red zote zipo Mbezi Makonde. Ni maarufu kwa kununua maeneo yenye migogoro, maeneo ya yatima nk.
Yadaiwa ni muda sasa hajaonekana Dar es Salaam baada ya timbwili la kiwanja cha Goig na Mikocheni kwa Maftah.
Soma Pia: Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?
Cc Jidu La Mabambasi
Yadaiwa ni muda sasa hajaonekana Dar es Salaam baada ya timbwili la kiwanja cha Goig na Mikocheni kwa Maftah.
Soma Pia: Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?
Cc Jidu La Mabambasi