Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa ( Alhamisi ) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.

au kama yupo ( tunae hapa JamiiForums ) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.

Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Kuna tatizo ndio maana wameona Dr Nchimbi arejee nchini haraka kucover.

Upepo unabadilika muda wowote tusubiri sherehe zipite uenda kukawa na 'sherehe' nyingine. Mark my words!
 
Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Namba kwa kawauda huwa hana kazi,ila mama samua ndio anampa extra work no 2,kwani enzi za magu ulikuwa unamuona samia?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Unatafuta kumchafulia ulaji tu, huna lolote.

Unataka amfunike huyo namba moja, halafu...?

Mwache mwenzio afaidi matunda ya nchi.
 
Back
Top Bottom