Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,131
Naona unatuandaa andaa hapa. So kila phase inapoanza inapita na mkula mmoja sio? Au trend reading yangu ina maliyenge?Sijui nilikuwa ninaota tu au ni Kweli pia!!
Naona unatuandaa andaa hapa. So kila phase inapoanza inapita na mkula mmoja sio? Au trend reading yangu ina maliyenge?Sijui nilikuwa ninaota tu au ni Kweli pia!!
Alitoa ushuhuda chini ya uangalizi maalum kama mzee wetu Assad?Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Watanzania mnaweza kuchimbua mambo ya ndaani kabisa kama yule MomoNi habari niliiona kwenye chombo kikubwa sikumbuki ni kipi ngoja niisake
Unamtafuta cha moyoni OMWAMI RUYAGWA.Wakikujibu unisitue wazee wa migebuka namawese
Kwahiyo upo radhi ukibeebe wewe?Mungu aepushie mbali kikombe hiki. Amina
Unafurahia matatizo ya mtu?Kwahiyo upo radhi ukibeebe wewe?
Subiri upoteze hivyo vikende vyako!Kuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!
Subiri upoteze hivyo vikende vyako!Kuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!
Nikuulize wewe upo tayari kukibeeba kikombe hicho?Unafurahia matatizo ya mtu?
Anajiona kajificha sana hapaSubiri upoteze hivyo vikende vyako!
Kuna tatizo ndio maana wameona Dr Nchimbi arejee nchini haraka kucover.Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa ( Alhamisi ) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
au kama yupo ( tunae hapa JamiiForums ) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Namba kwa kawauda huwa hana kazi,ila mama samua ndio anampa extra work no 2,kwani enzi za magu ulikuwa unamuona samia?Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Unatafuta kumchafulia ulaji tu, huna lolote.Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Huu ndio ukweli.Huyu Mzee kiukweli toka atoke kuumwa Covid hajakaa sawa...kitalaam alipaswa kupumzika..Afya yake toka ameumwa ile Covid sijaona kama inafanana na alivyokuwa...