Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

Kama kumuulizia Mtu (tena Kiongozi wangu Makamu wa Rais) ni Upumbavu (Foolishness) basi sawa ila kwakuwa Wewe ni Mwerevu (Einstein) nitashukuru ukiniambia tu alipo Mtani wangu wa Kiha Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango.
Baba yako unajua alipo?mtafute baba yako kwanza achana na baba wa watu wengine!!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.

Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.

Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Basi subiri hiyo Alhamisi utamwona
 
Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )
Wakara mtuache. Mimi ni Mkara lakini nimewahi kuwa mkurugenzi wa UNGO pale Moro, nimewahi kuwa CR wa wanafunzi wa agribusiness pale SUA, vilevile nimewahi kwenda Ethiopia kikazi mara mbili mfululizo. Sasa ushamba wa wakara unatoka wapi? Acha dharau .
 
Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )
Unawezaje kuwaita wanyamwezi washamba, wakati hadi wamarekani weusi wanaitwa 'wanyamwezi', au mtu akiwa ametoka mbele anaitwa "mnyamwezi", au mtu yoyote mjanja anajiita "mnyamwezi". Sasa kuna mtu mjanja atajihusisha na ushamba?
 
Yule mgonjwa kaulizake haziendanagi na yeye...mama uliniachia nchi nilikua naogopa......Jaman wasomi wa bongo kizungumkuti
 
Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.

Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.

Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Gentamycine unaonekana unakubali mno kazi ya Netanyahu ndio maana umeweka kwenye avatar! Ni vizuri, wewe akili kubwa, na yeye ni akili kubwa.
 
Nakumbuka enzi Bilal akiwa makamu alikuwa bingwa wa uzinduzi wa majengo na semina. Nakumbuka aliwahi kuzindua lift kwenye jengo moja Mbeya kule...

Nadhani vidole vyake viliota sugu ya mikasi...
Mkuu nimecheka sana....alizindua lift?
 
Makamu wa rais ni ceremonial figure mkuu....sio mtendaji....kuwepo kwake au kutokuwepo kwake hakuathiri kitu chochote
Ceremonial figure aah 😳!!.

Awepo asiwepo haiathiri kitu 😳!!.

Naona kuna watu ni sawa na wale mnapigia kelele eti watu wameiba pesa za umma, wakati katiba yenu inaruhusu wizi from high profile people.

Yaani badala ya kupambana kuondoa hicho cheo kuwa ni sehemu ya matumizi mabaya ya rasilimali za umma, wewe unasema hakuathili huku anaendelea kuishi kwa nguvu ya watanzania mmh🙁!.
 
Ujio wa Nchimbi ambaye mwanzoni alitanabaishwa kuwa makamu..

uwepo wa inachosemekana Sgang, na Makamu wa sasa kuhusishwa..

kutokukubalika kwa makamu ndani ya team msoga (Wahuni vs Washamba/wakuja).

na mengineyo kama hayo kumefanya nguvu yake ipungue na kuna mkakati kabambe wa kumuondoa.

lakini ni mpe onyo/angalizo SSH.
Lolote litakalo fanyika kwa Mpango basi atalipiziwa mara 7 kwake.

kuna mission y chini chini inaendelea inawahusisha viongozi 3.
kama ikifanikiwa watanzania hawatakaa kuamini.

Niishie hapo.
.
giphy.gif
 
Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
😂watu wana roho mbaya sana aisee, alimtesa sana mzee wa watu bado kidogo angefia live mbele ya makamera.
 
Back
Top Bottom