nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Baba yako unajua alipo?mtafute baba yako kwanza achana na baba wa watu wengine!!Kama kumuulizia Mtu (tena Kiongozi wangu Makamu wa Rais) ni Upumbavu (Foolishness) basi sawa ila kwakuwa Wewe ni Mwerevu (Einstein) nitashukuru ukiniambia tu alipo Mtani wangu wa Kiha Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app