Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kweli wewe ni mbususuMimi
Kweli wewe ni mbususuMimi
Nchimbi mna mu-overate sana. Hana uwezo huo zaidi ya kuua na kuteka kama Bashite.Kwani watu hamjaunganisha "doti" kurejeshwa nyumbani kwa E. Nchimbi,Ph.D!!??
Yupo tele. Kama dagaa was Lake Tanganyika.Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Yupo tele. Kama dagaa wa Lake Tanganyika.Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Yupo Dodoma anaendelea na majukumu yakeWaha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Kuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!
Makamo wa rais>Ni kiongozi /Nafasi ya pili Kwa madaraka katika Jamhuri ya Mungano wa Tanzania. MAJUKUMU YAKE AU WAJIBU WAKE. 1.Atafanya KAZI zote kama atakavyooelekezwa na raisi hapa tuelewana ......kama raisi atakavyompangia .hii Nafasi ni madara makubwa Ila Kwa mtazamo wangu Bora hata waziri anaweza foka (hapo naona nyerere kuna Mambo aliyawaza .Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Wewe jamaa credibility yako humu imeshuka baada ya usalitiNchimbi mna mu-overate sana. Hana uwezo huo zaidi ya kuua na kuteka kama Bashite.
Ndio maana alikumbukwa kwenye uflme wa ccm.Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Sijui kama kizazi hiki kitashuhudia kiongozi katiili tena kiwango chakeJiwe alikuwa katili sana...
Nimerudi home Burundi MkuuKama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Ninashukuru sana kwa kulijua hili Mkuu.Gentamycine unaonekana unakubali mno kazi ya Netanyahu ndio maana umeweka kwenye avatar! Ni vizuri, wewe akili kubwa, na yeye ni akili kubwa.
Nani anashusha credibility yangu? Labda mwenye akili ya kuvukia barabara kama wewe Mbususu EnthusiastWewe jamaa credibility yako humu imeshuka baada ya usaliti
Huyu wa sasa ni mgonjwa tu wala tusipepese macho. Kukaa kwenye oxygen machine kwa kipindi kile kulimuachia kilema ndani kwa ndaniVice Presidents always wako silence
Toka enzi za president Mkapa
Na akidedi Meko anahusika. Haiwezekani umtoe mtu ICU aje aongee na waandishi kuwathibitishia eti hana Corona. Wale wadudu hawanaga masihara na vigogo na matajiri...Huyu wa sasa ni mgonjwa tu wala tusipepese macho. Kukaa kwenye oxygen machine kwa kipindi kile kulimuachia kilema ndani kwa ndani
Wanaosikika ni Rais,, Rais ZnZ, Waziri mkuu, Makamba na Mwigulu huyu ndugu Makamu amepotezewa labda hahitajikiSawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
watu wana roho mbaya sana aisee, alimtesa sana mzee wa watu bado kidogo angefia live mbele ya makamera.