Yuko wapi Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wassira?

Yuko wapi Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wassira?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,211
Reaction score
99,963
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana
IMG-20250513-WA0005.jpg
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
..hii ni harakati ya kushiriki uchaguzi au kuzuia uchaguzi?
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Ngona akija na nguvu mpya. Mwache apumzike kwanza amefanya kazi nzuri kuzidi vijana ambao wengi ni Uchawa tu.
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Hivi hamkuona alivyokuwa analala majukwaani? Yule hana tena energy ya kufanya siasa za majukwaani. Walimwangushia jumba bovu tu kwa sababu Samia alitaka hiyo nafasi akae zezeta. Ni woga wa kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha urais, kama akikaa mtu anayejitambua.
 
Hivi hamkuona alivyokuwa analala majukwaani? Yule hana tena energy ya kufanya siasa za majukwaani. Walimwangushia jumba bovu tu kwa sababu Samia alitaka hiyo nafasi akae zezeta. Ni woga wa kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha urais, kama akikaa mtu anayejitambua.
Zezeta siyo!!?..wazee wa matusi mso adabu,babaako ni zezeta au!?
 
Umri wote huo unakimbizana majukwani......
Kila mtu anasema yake ila lazima engen ya body imepata hitilafu kdg

Ova
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Unasema hali (ya siasa) ni mbaya sana je una uhakika hali yake (afya) siyo mbaya zaidi ya hiyo ya siasa?
 
Umri huo ni safari moja porini safari inayofuata ni garage!
 
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema eti uchaguzi wa mwaka huu utasogezwa mbele kwasababu kutatokea msiba wa mgombea mwenza wa urais
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
anazunguka ulaya kutangaza ccm kwa wazungu.

Most likely ana tatizo, sidhani kama yuko ziarani nje ya kikazi au likizo na hiyo yuko home...hapana. There is a problem somewhere.
amekwenda kumalki Yesu maana alisema yesu akirudi si lazima alakiwe
 
anazunguka ulaya kutangaza ccm kwa wazungu.

Most likely ana tatizo, sidhani kama yuko ziarani nje ya kikazi au likizo na hiyo yuko home...hapana. There is a problem somewhere.
amekwenda kumalki Yesu maana alisema yesu akirudi si lazima alakiwe
Kama kazi imekwisha, hana haja ya kujianika, hiyo imepshapita shaaa and for good
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Hata Marangi nae alijaribu kufuata moto pumzi imekata na wana kila kitu kasoro watu wakuwaunga mkono wanafanya kazi ngumu sana
 
Back
Top Bottom