Yuko wapi Komandoo Salmin Amour?

Mke wa kichagga aliyekuwa naye enzi za utawala wake alimkimbia na kuolewa na balozi wa Libya aliyekuwa hapa nchini. Atakuwa alimwongezea masaibu ya upweke na hata kuoa na kuoa na kuoa tena.
Komando shabab alishaoa mara tano baada ya kumuacha yule
Just Gooogle...komando aoa
Infact hata kabla ya urais komondo..alishaoa sana ...na mara kadhaaa alikaaa bila mke,sijui kwanini
 
Komando shabab alishaoa mara tano baada ya kumuacha yule
Just Gooogle...komando aoa
Infact hata kabla ya urais komondo..alishaoa sana ...na mara kadhaaa alikaaa bila mke,sijui kwanini

Pia hayati Mwalimu alimwambia komandoo wakti ule kwamba alikuwa anamuona angeiweza kazi ya Zanzibar ila akampa masharti aoe.

Hapo ndipo akapatikana Salma.
 
Komando shabab alishaoa mara tano baada ya kumuacha yule
Just Gooogle...komando aoa
Infact hata kabla ya urais komondo..alishaoa sana ...na mara kadhaaa alikaaa bila mke,sijui kwanini
Kuna wakati nilisikia kuwa naye ni mmoja wa Viongozi waliolazimisha kuoa Mwarabu wakati wa Karume
 
Laana ya Wapemba inamtafuna. Amepoteza nuru ya macho. Nakumbuka jinsi utawala wake ulivyokuwa wa kibabiloni huku Waziri Kiongozi akiwa Gharib Billali ambaye naye alikuwa mtemi wa aina yake.
Dah....Low Hasa atagombea urais 2095....Kwa sababu anapendwa sana
 
Gadafi?
 

Ni swali au kuna kaujumbe unamtumia yule jamaa asiyepangiwa cha kufanya?
 
Mubashara umenikumbusha mbali sana
 
Mkuu kweli unamjua vizr salma kila wiki hakosi kurudi kwao akidai anaenda kumuangalia kaka yake Al maaruf 'Mohd London' vijana wa Bungoni na sharif shamba walikuwa wakijipigia mpaka mzee kashtuka kwa kufanywa babu jinga
 
Mkuu kweli unamjua vizr salma kila wiki hakosi kurudi kwao akidai anaenda kumuangalia kaka yake Al maaruf 'Mohd London' vijana wa Bungoni na sharif shamba walikuwa wakijipigia mpaka mzee kashtuka kwa kufanywa babu jinga

Jiji hili limeanza kutanuka baada ya Mwaka 1990 kabla ya hapo Tulikuwa tunajuana sana sana na Mengine kwa heshma ya Kibanadamu hatuwezi kuandika!
 
Jamaa macho yamepofuka ila si haba mwanae ni RAS wa Kilimanjaro wanaendelea kula mema ya nchi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…