Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?

ALIPE FEDHA YA CHAMA ALIZOIBA. mwakajana alikuwa anapokea fedha toka kwa taasisi mbalimbali ili azipeleke kwenye majimbo yaliyokuwa na shida. yeye akazitumia kuhudumia kambi yake ya uraisi . AMEAMBIWA ALIPE MABILIONI HAYO.
 
...Makamba alipaswa kuwa wizara ya Mambo ya nje au Waziri Mkuu..

Performances za akina Pinda na Majaliwa sasa zinapelekea baadhi ya watu kuamini kabisa kwamba kila mtu anaweza kuwa Waziri Mkuu.Haiwezekani.

Makamba pale alipowekwa tu bado anapwaya. Haitoshangaza sana kama atapumzishwa katika reshuffle inayoweza kutokea muda wowote katika safari yetu hii ya mwendokasi.
 
No one is indispensable under the sun (JFK)
 

January Makamba is not a smart as you think; he is an opportunist.

Ni sawa na kumuona fisi anakula mifupa ya paa, ukamsifia kuwa ni muindaji mzuri!
 
Wadau muwe mnajadili watu wa maana. Makando kando mengine yaacheni huko huko yaliko.
 
Ruka uwezavyo huyo ndo rais 2025., utanikumbuka mkuu kimya kingi kina kishindo



Kyene kyaka mkighanile une...
 
alikua mstari wa mbele kwenye kampeni nilijuwa atapata cheo zaid ya wazir mkuu
 
Kwa mliokuwa kwenye ziara ya Rais magufuli Zanzibar, Je Mh J.makamba alikuwepo? Naamini lile lilikuwa jukwaa lake kuonekana nimeangalia picha sijamuona imekuwaje?
 
Kwa mliokuwa kwenye ziara ya Rais magufuli Zanzibar, Je Mh J.makamba alikuwepo? Naamini lile lilikuwa jukwaa lake kuonekana nimeangalia picha sijamuona imekuwaje?

Alikuwepo na alisema anamsaidia muheshimwa kurudisha basi (ambalo serikali iliyopita ilikuwa inaliendesha nje ya barabara) barabarani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…