Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?

Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?

January alikuwa anatembelea nyota ya Kikwete

Na ataendelea kumtegemea kikwete
Aombe Mungu tu, jakaya abaki hao.
Tofauti na hapo atakuwa amekwisha
 
kelele ziizidi sasa anakeep low profile ili upepo upite.
 


January ameamua kuondoka/kuchukua likizo kwenye social media zote na hali ya kisiasa kwa sasa inahitaji young voices kama zake. January ni dame changa na naamini kuwa kuna vijana wengi ambao wangependa kusoma na kumsikiza kwenye hafla na mikutano mbali mbali akizungumzia mambo mbalimbali na hususan hali ya kisiasa nchini. As things stand, this country is poised on the brink of a choice between the dangers of authoritarianism, tranny and its historic commitment to dissent. It is essential that the latter prevails. Lakini this can only work if the likes of you come out and speak out.

Tunakuomba Janauary jitokeze tupate maoni yako juu ya maendeleo na mustabkali wa nchi yetu hapa tulipo, tunakokwenda na athari zake kisiasa, kijamii na kiuchumi katika zama hizi za 1984.

Tafadhali January we need you now than ever. Vijana kama akina Aidan Eyakuze wamejitokeza na kutoa maoni yao, akina Zitto na wengine (japo sijaona vijana wanawake kama akina Maria Sarong na wengineo kujitokeza). The bottom line ni kuwa in this era of tyranny the likes of you keeping silent doesn't help this nation. Una demographic (the silent majority) kubwa sana yuma yako mkuu jitokeze ongea na wanafunzi vyuo vikuuu, tembelea media houses, do interviews, write think pieces bring back the good old idealistic January.
hakuna cha damu changa wala nini ishu alikosa uwaziri mkuu basi hana hamu tena.... kaamua kuonesha mgomo kwa kukaa kimya
 
Mgosi, hivi ni nini kimekupata? Mbona ulipokuwa Naibu Waziri wa Mawasiliano ulikuwa active. Hebu ijulishe kamii yasije yakakutokea makubwa.
 
Wote hawa wawili ni vijana machachari kwenye ulingo wa siasa na wenye ndoto kubwa huko mbele na yawezekana kuja kuwa rais

Lakin watu mmemkomalia Mnyika kwanini yuko kimya huku mkisahau na January tangu huyu anayeongoza achukue nchi basi na yeye kajichimbia kimya!!

Nani kikwazo kwa siasa za hawa vijana?
 
Yupo busy anashirikiana na wafanyabiashara ili kuangusha serikali ya Magufuli. Kamwe hawawezi kufanikiwa
 
duuh mpka nlimsahau, na ninauhakika hata bwana mbowe na lowasa wanajiuliza juu ya hili
 
Hiyo ndo shida ya kutegemea mambo makuu harafu yakayeyuka katika muda mfupi
 
Zinapita siku, wiki, miezi na hata mwaka unaisha sasa bila kumwona au kumsikia Kijana Machachari na makini Januari Makamba katika duru hizi za siasa ya awamu ya tano.
Kwa wanaomtambua Makamba wanaelewa uwezo wake wa kucheza na siasa za Tanzania kama alivyo Lowassa enzi za ujana wake. Ni kijana ambaye hutulia pale ambapo hupatwa na misukosuko ya kisiasa na kujipanga upyaa. Pamoja na kwamba mimi ni moja ya watu wasioipenda CCM lakini Makamba ni hazina safi ambayo hata ukienda upinzani utampata mmoja au wawili wanaofanana naee.

Nakumbuka sote tulioshiriki katika uchaguzi wa mwaka jana tulivyo ona mipango ya ushindi wa Magufuli chini ya kijana huyu. Lakini sijui kimetokea nini mpaka kijana huyu machachari kupotezwa kwenye siasa na kutuipwa wizara mfu.

Niseme wazi kwamba pamoja na figisufigisu za kijana huyu mwaka jana lakini ni Hazina pekee ya mipango iliyosalia CCM. Hakuna kijana ambaye unaweza mfananisha na Makamba ndani ya CCM leo, sio Mwigulu wala Kigwangala. Huwezi msikia Makamba katika mihemko na mwendokasi wa hovyohovyo.
Najua wengi wanamlaumu Makamba kwa Bomoabomoa ya mabondeni ilivyofanyika, lakini ukweli ni kwamba bomoa bomoa ile ilifanywa na Lukuvi na Majaliwa.

Magufuli ameshindwa kumtumia Kijana huyu katika wizara kubwa hapa nchini na hii ndio inawezakuwa sababua kuyumba kwa serikali yake. Makamba alipaswa kuwa wizara ya Mambo ya nje au Waziri Mkuu.

Je huu ni mwanzo wa kufifia kwa Makamba katika siasa?
Makamba alikosa nini hasa kwa mtukufu Rais mpaka akapewa wizara ile?

Is makamba political Banned???

Karibuni kwenye mjadalaa, matusi, vijembe, hekima na busara ni haki yako, sio uchochezi.
 
Zinapita siku, wiki, miezi na hata mwaka unaisha sasa bila kumwona Kijana Machachari na makini Januari Makamba kuto kumwona au kumsikia katika duru hizi za siasa ya awamu ya tano.
Kwa wanaomtambua Makamba wanaelewa uwezo wake wa kucheza na siasa za Tanzania kama alivyo Lowassa enzi za ujana wake.

Nakumbuka sote tulioshiriki katika uchaguzi wa mwaka jana tulivyo ona mipango ya ushindi wa Magufuli chini ya kijana huyu. Lakini sijui kimetokea nini mpaka kijana huyu machachari kupotezwa kwenye siasa na kutuipwa wizara mfu.

Niseme wazi kwamba pamoja na figisufigisu za kijana huyu mwaka jana lakini ni Hazina pekee ya mipango iliyosalia CCM. Hakuna kijana ambaye unaweza mfananisha na Makamba ndani ya CCM leo, sio Mwigulu wala Kigwangala. Huwezi msikia Makamba katika mihemko na mwendokasi wa hovyohovyo.
Najua wengi wanamlaumu Makamba kwa Bomoabomoa ya mabondeni ilivyofanyika, lakini ukweli ni kwamba bomoa bomoa ile ilifanywa na Lukuvi na Majaliwa.


Magufuli ameshindwa kumtumia Kijana huyu katika wizara kubwa hapa nchini na hii ndio inawezakuwa sababua kuyumba kwa serikali yake.

Je huu ni mwanzo wa kufifia kwa Makamba katika siasa?
Makamba alikosa nini hasa kwa mtukufu Rais mpaka akapewa wizara ile?

Is makamba political Banned???

Karibuni kwenye mjadalaa, matusi, vijembe, hekima na busara ni haki yako, sio uchochezi.
Jamaa amekua kimya hadi nashangaa,hivi yuko wapi sasa hivi na ni waziri wa wizara flani
 
Anatunzwa kama Magufuli awe Rais 2025 agombee kimya kimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom