MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Huyu Waziri tangu ateuliwe na Mh Rais kwenye nafasi binafsi sijawahi kumuona kabisa akifanya ziara za kikazi kama moja ya majukumu yake,zaidi amekua akionekana Naibu wake Mh Luhaha Mpina. Kama amekua akifanya hivyo basi itakua kimya kimya.
Mmh,hata kama ni kuonena kwenye media lakini binafsi naona kuna tofauti kubwa na wakati ule wa awamu ya nne akiwa kama Naibu waziri wizara ta Mawasiluana,sayansi na teknolojia wakati huo na wakati huu.Sijui ofisini kwake majukumu yanakwenda vipi lakini nafkiri ndiye Waziri pekee aliye kimya kuliko wote.
Mmh,hata kama ni kuonena kwenye media lakini binafsi naona kuna tofauti kubwa na wakati ule wa awamu ya nne akiwa kama Naibu waziri wizara ta Mawasiluana,sayansi na teknolojia wakati huo na wakati huu.Sijui ofisini kwake majukumu yanakwenda vipi lakini nafkiri ndiye Waziri pekee aliye kimya kuliko wote.