Zinapita siku, wiki, miezi na hata mwaka unaisha sasa bila kumwona au kumsikia Kijana Machachari na makini Januari Makamba katika duru hizi za siasa ya awamu ya tano.
Kwa wanaomtambua Makamba wanaelewa uwezo wake wa kucheza na siasa za Tanzania kama alivyo Lowassa enzi za ujana wake. Ni kijana ambaye hutulia pale ambapo hupatwa na misukosuko ya kisiasa na kujipanga upyaa. Pamoja na kwamba mimi ni moja ya watu wasioipenda CCM lakini Makamba ni hazina safi ambayo hata ukienda upinzani utampata mmoja au wawili wanaofanana naee.
Nakumbuka sote tulioshiriki katika uchaguzi wa mwaka jana tulivyo ona mipango ya ushindi wa Magufuli chini ya kijana huyu. Lakini sijui kimetokea nini mpaka kijana huyu machachari kupotezwa kwenye siasa na kutuipwa wizara mfu.
Niseme wazi kwamba pamoja na figisufigisu za kijana huyu mwaka jana lakini ni Hazina pekee ya mipango iliyosalia CCM. Hakuna kijana ambaye unaweza mfananisha na Makamba ndani ya CCM leo, sio Mwigulu wala Kigwangala. Huwezi msikia Makamba katika mihemko na mwendokasi wa hovyohovyo.
Najua wengi wanamlaumu Makamba kwa Bomoabomoa ya mabondeni ilivyofanyika, lakini ukweli ni kwamba bomoa bomoa ile ilifanywa na Lukuvi na Majaliwa.
Magufuli ameshindwa kumtumia Kijana huyu katika wizara kubwa hapa nchini na hii ndio inawezakuwa sababua kuyumba kwa serikali yake. Makamba alipaswa kuwa wizara ya Mambo ya nje au Waziri Mkuu.
Je huu ni mwanzo wa kufifia kwa Makamba katika siasa?
Makamba alikosa nini hasa kwa mtukufu Rais mpaka akapewa wizara ile?
Is makamba political Banned???
Karibuni kwenye mjadalaa, matusi, vijembe, hekima na busara ni haki yako, sio uchochezi.
Yeah! nilitegemea kuona post ya namna hii, GOOD EYES MAN.Labda kaamua kunyamaza maana nayo ni busara pia.
Ila kichwa cha habari rekebisha POLITICALLY!
Edit: Shouting=Shooting!Yap, he has a questionable character. He should be glad he was even considered for that position after all his actions.
I don't consider him a political maestro, as some have called him in this thread. Just an overzealous guy who wanted too much too early.
Am guessing he never understood the concept of proper timing, he vied for presidency in a time where CCM was trying to shed itself from all the scandals that had plagued the party. So they needed someone with a good track record. Which he had none. Of all the top candidates he was the youngest and least experienced, of which the only thing i got from him was that they should choose him cause its time for young people to lead, well that's not good enough! So there was no way in hell CCM was going to bet on him to fly the party flag, that's like shouting yourself in the foot.
Grammar, not gramer mkuu.POLITICALLY NOT political, ni gramer tu
Thanks. Good catch, corrected it.Edit: Shouting=Shooting!
Otherwise, thanks for your good input.
Asantela
ladhi>>>>>radhi
Asante kwa kuitambua sifa yake kuuu.. Katika taifa hatuitaji mtu kama huyu maana anaweza kuleta maafa makubwa sana. Siku zote muogope mutu asie tenda haki hata kama katenda vibaya kwaniaba ako wew. Like wise anaweza kukugeuka wew. Dogo janja ni mtu wa mafingo fingo mengi+ kishirikina basi ndo balaa hapo. sorry kama ushirikina utaonekana kama udakuMkuu Maana ya chama nikushika dola, kukamata dola inahitaji mbinu za kisasaa, mikakati yote ya mafuriko ya uongo ya magufuli na strateries za ushindi alikuwa anaratibuyeye hata zile takwim za kupikaa.
Mtu kama huyu angekuwepo chadema hakika ni hazina toshaaaa
kwanza wewe ni kanjanja. 'is makamba political banned' ndio nini. awamu ya tano haihitaji wasanii ila kazi tu.Zinapita siku, wiki, miezi na hata mwaka unaisha sasa bila kumwona au kumsikia Kijana Machachari na makini Januari Makamba katika duru hizi za siasa ya awamu ya tano.
Kwa wanaomtambua Makamba wanaelewa uwezo wake wa kucheza na siasa za Tanzania kama alivyo Lowassa enzi za ujana wake. Ni kijana ambaye hutulia pale ambapo hupatwa na misukosuko ya kisiasa na kujipanga upyaa. Pamoja na kwamba mimi ni moja ya watu wasioipenda CCM lakini Makamba ni hazina safi ambayo hata ukienda upinzani utampata mmoja au wawili wanaofanana naee.
Nakumbuka sote tulioshiriki katika uchaguzi wa mwaka jana tulivyo ona mipango ya ushindi wa Magufuli chini ya kijana huyu. Lakini sijui kimetokea nini mpaka kijana huyu machachari kupotezwa kwenye siasa na kutuipwa wizara mfu.
Niseme wazi kwamba pamoja na figisufigisu za kijana huyu mwaka jana lakini ni Hazina pekee ya mipango iliyosalia CCM. Hakuna kijana ambaye unaweza mfananisha na Makamba ndani ya CCM leo, sio Mwigulu wala Kigwangala. Huwezi msikia Makamba katika mihemko na mwendokasi wa hovyohovyo.
Najua wengi wanamlaumu Makamba kwa Bomoabomoa ya mabondeni ilivyofanyika, lakini ukweli ni kwamba bomoa bomoa ile ilifanywa na Lukuvi na Majaliwa.
Magufuli ameshindwa kumtumia Kijana huyu katika wizara kubwa hapa nchini na hii ndio inawezakuwa sababua kuyumba kwa serikali yake. Makamba alipaswa kuwa wizara ya Mambo ya nje au Waziri Mkuu.
Je huu ni mwanzo wa kufifia kwa Makamba katika siasa?
Makamba alikosa nini hasa kwa mtukufu Rais mpaka akapewa wizara ile?
Is makamba political Banned???
Karibuni kwenye mjadalaa, matusi, vijembe, hekima na busara ni haki yako, sio uchochezi.