Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?

Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?

Khabar za leo waungwana,

Ni kitambo ss sijamsikia wala kumwona Mh January mbunge wa Bumbuli na Waziri wa serikali ya awamu ya tano. Kwa yeyote mwenye taarifa zake karibu tujuzane!

Nawasilisha.
 
Wakuu poleni na majukukumu ya kulizungusha tairi la maendeleo.

Nakuja mbele yenu nikitaka kujua huyu kijana mwenzetu kwenye siasa za nchi hii.

Maana amekuwa kimya sana hata zile twit zake hatuzioni kwa kasi hii ya mzee wetu kipenzi hapa kasi tu. Ni kipi kimemsibu na kuwa kimya hivi.

Ukichukulia wizara anayoongoza bado inachangamoto sana. Si mwingine ni Januari Makamba. Hata kwenye mkutano wa juzi huko Dodoma hata picha magazetini au kwenye TV station akifanya mahojiano.

Maana tulizoea kumuona hasa wakati wa jk au wakati tukielekea kwenye uchaguzi alikua hakauki kwenye media nini kimempata kijana wetu.

Naomba kuwasilisha.
Kampeni ziliisha, uchaguzi uliisha, yuko ofisini anamsaidia rais kutekeleza ahadi.
 
He is one of the youths that I appreciate them, January has vision and in fact he always plays civilized politics.
Kinacho nipa wasi wasi ni ukimya mwake katika kutekeleza Majukumu ya wizara yake ambapo Luhaga Mpina ndiye kawa kama WAZIRI.
Masuala ninayo jiuliza nj Manne tu, ambayo ni:-

1.Usie mtaka kaja?

2.Hajaridhika na wizara aliyopewa?

3.Mkuu wa NCHI hashauriki, hivyo akaona bora akae kimya?

4.Naibu wake ndiye ana muovataki?
 
Anaogopa kivuli cha JPM, naona zile katuni zilimuudhi sana mkuu wake na kapewa wizara kwa shingo upande.
 
Anafanya majukumu yake Kwa kuwa humfutilii Sana utaona kama hayupo ila ni waziri na ofisini yupo kama kawaida. Hayo maswali uliyouliza ni magumu
 
Achana na mambo ya kimbea ww, mtu akikaa kimya mnamchokaza, akizungumza mnasema anazumgumza pumba, binadam tuna hila ya kwapa sana.
 
mwanangu anapenda sana katuni ya TINGA TINGA AAA X 2 TINGA TINGA NCHI YETU , pia Tanzania one theater walimba sijui wanaisoma number
 
February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
ukiona mtu anamchukia sana Jamuary Makamba ujue ni pro Mamvi.
 
Kila zama na zama zake JM aling'ara zama za Kasi Mpya, Nguvu Mpya na Ari Mya (Maneno , porojo na Siasa) kwa sasa ni [HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG] (Uwajibikaji kwa Vitendo) unategemea nini wakati yeye ni kama Kasuku (ndege)
 
Na zile picha alizorusha mtandaoni baada ya kuukosa upm, ikatafsiriwa anamnanga Bob na kama ujuavyo Bob keshasema wazi hajaribiwi
Yule alipata Uwaziri kwa hisani ya Chama tu!
 
February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
Huyo ngosha ni nani?
 
And all for the best. Just picture for a second if he was the Prime Minsiter. We would literally be crying blood tears. Just as a deputy minister he facilitated the cyber crime law now imagine if he was the main man in charge probably even this JF would be history by now.
really there are people who are essential to some certain contexts be it in political,social, economic, or other arenas of the same but really are not essential personnels in leadership, taking into consideration this guy is an essential personnel in party's strategic plans and propaganda, in in fact this guy has played a great role in his party perhaps he expected much than what he have now. He had an expectation of acquiring high position as a reward of what he fought towards the success of his party,
my take this roaming silence is an indicator of dissatisfaction of position he have now.
 
Baadhi ya misamiati imeingia na kuvuma na kisha kuanza kusahaulika mfano tumbua, majipu kushtukiza n.k. Luna watu nao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom