Kampeni ziliisha, uchaguzi uliisha, yuko ofisini anamsaidia rais kutekeleza ahadi.Wakuu poleni na majukukumu ya kulizungusha tairi la maendeleo.
Nakuja mbele yenu nikitaka kujua huyu kijana mwenzetu kwenye siasa za nchi hii.
Maana amekuwa kimya sana hata zile twit zake hatuzioni kwa kasi hii ya mzee wetu kipenzi hapa kasi tu. Ni kipi kimemsibu na kuwa kimya hivi.
Ukichukulia wizara anayoongoza bado inachangamoto sana. Si mwingine ni Januari Makamba. Hata kwenye mkutano wa juzi huko Dodoma hata picha magazetini au kwenye TV station akifanya mahojiano.
Maana tulizoea kumuona hasa wakati wa jk au wakati tukielekea kwenye uchaguzi alikua hakauki kwenye media nini kimempata kijana wetu.
Naomba kuwasilisha.
ukiona mtu anamchukia sana Jamuary Makamba ujue ni pro Mamvi.February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
Muanzilishi wa [HASHTAG]#HapKaziTu[/HASHTAG] kaingia mtini!Hata Dr Kigwangala kaingia mitini
[HASHTAG]#HAPAKAZITU[/HASHTAG]Yule alipata Uwaziri kwa hisani ya Chama tu!Na zile picha alizorusha mtandaoni baada ya kuukosa upm, ikatafsiriwa anamnanga Bob na kama ujuavyo Bob keshasema wazi hajaribiwi
Huyo ngosha ni nani?February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
really there are people who are essential to some certain contexts be it in political,social, economic, or other arenas of the same but really are not essential personnels in leadership, taking into consideration this guy is an essential personnel in party's strategic plans and propaganda, in in fact this guy has played a great role in his party perhaps he expected much than what he have now. He had an expectation of acquiring high position as a reward of what he fought towards the success of his party,And all for the best. Just picture for a second if he was the Prime Minsiter. We would literally be crying blood tears. Just as a deputy minister he facilitated the cyber crime law now imagine if he was the main man in charge probably even this JF would be history by now.