Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,886
Reaction score
828,469
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika

Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
 
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika

Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…