Huwa ninajiuliza kwa nini hatumuoni mzee wetu wa taifa (first gentleman) bwana Hafidhi Amiri akiambatana na rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama yetu Samia Suluhu?
Fist lady wa Nyerere,Mwinyi, Mkapa,Kikwete, Magufuli tuliwafahamu vipi kuhusu mzee wetu Hafidhi kwa nini huwa haambatani na mama yetu Samia?
Wanaishi pamoja Ikulu?