Yuko wapi Deogratius Kisandu?

Yuko wapi Deogratius Kisandu?

segwanga

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
2,788
Reaction score
731
Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
 
kwisha yule amna kitu saivi, kipindi kile alikuwa joto saivi kashatoka!
 
Vijana wengine ni kama wale waigizaji kwenye movie za kihindi, harakati nyingi lakini mwishowe utakuta mhusika mkuu anafia kwenye maua!


lol.. mbavu zangu mie. Naona bado anakusanya watu maana mara ya mwisho alionekana Kahama akihutubia wanafamilia.. alifikiri kujaza umati kama wa Dk Slaa ni mchezo, hakujua kuwa watu waliinvest miaka kabla ya kuona matokeo...
 
huyu atakua kahama ndo familia yake kwa kiasi kikubwa inaishi huko,namfahamu vizuri sana nilishangaa sana alipojiingiza kwenye siasa
 
Anasotea kazi buzwagi..wara nyingi huwa anawakusanya wasoteaji wenzake pale getini na kuwahubiria siasa za nccr..
 
Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
Huyu angetaka kudumu angerudi CCM. NCCR ni Karikoo atakujua nani?
 
Mara nyingi wasaliti hujinyonga.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naona nikumbushwe, huyu jamaa Kisandu ndio nani maana nilishawahi kumsikia enzi zile za upepo wa masalia...
 
Kuna wengi wamekimbia jf mkuu mfano pasco!
Usipende kuropoka kwa kitu usichokijuwa bwegge wewe, Pasco yuko bize na kazi zake, wewe kama unalipwa pesa kuwepo hapa JF ni wewe.

[h=1]Pasco
user-online.png

JF Premium Member
premium1.png

reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]


Join Date 22nd September 2008 Last Activity Today 10:19
 
Last edited by a moderator:
Ni mwalimu aliyegoma kufundisha,mbatia alimdanganya kuwa anampa hela,imekula kwake kama kawaida ya wasaliti,akanyong'onyea kama cheni,yupo yupo tu kahama anasotea ajira za mgodini
 
Back
Top Bottom