BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,184
- 164
slaa ndio nani, mimi uwezo wangu ni mkubwa sana kuliko hata watu hao unaowataja.
Duh!Mkuu hapo sasa umechemka tena saana.Kajipange upya ----- we!
slaa ndio nani, mimi uwezo wangu ni mkubwa sana kuliko hata watu hao unaowataja.
umechemka dada. Nguvu ya mabadiliko haiji kama move, tunahitaji vijana wenye uwezo wa kujitambua bila ushabiki wa vyama na wakaweza kusimama wao kama wao bila mgongo wa umarufu wa mbunge wala mtu mkubwa kisiasa. Ndio maana vijana wa kitanzania hatufanikiwi kwasababu mnaamini katika majina yaleyale miaka yote.
slaa ndio nani, mimi uwezo wangu ni mkubwa sana kuliko hata watu hao unaowataja.
hujitambui, unafanya siasa kwa shinikizo la ushabiki
So kwa akili yako unadhani una uwezo wa kuwa rais siku moja? ahhahahahaaha labda balozi wa nyumba 10
hujitambui, unafanya siasa kwa shinikizo la ushabiki
Kuna wengi wamekimbia jf mkuu mfano pasco!
WOGA wako ndio umasikini wako.
Kisandu yuko mkoani Mwanza anafundisha moja wapo ya shule za sekondary wilayani Misungwi. mara ya Mwisho alikuwa anaongoza kampeini za kumnadi mgombea wa chama chake katika kata ya Nyampulukano Sengerema na wakaambulia kura pungufu ya 40. Siku ya mwisho alipata ajali mbaya ya gari akanusurika kifo.Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
Usipende kuropoka kwa kitu usichokijuwa bwegge wewe, Pasco yuko bize na kazi zake, wewe kama unalipwa pesa kuwepo hapa JF ni wewe.
Wamezoea kufanya siasa za mitandaoni hao jembe wanadhani mitandao huwa inapiga kura.wanataka kila unachofanya uandike jf babu kawazoesha vibaya ndio maana alitangaza kwenye media kuwa ataisaidia familia ya mwangosi mpaka leo hakuna alichokifanya mzee wa mauzo.
piga kazi jembe achana na watu walioajiriwa toka ufipa humu jf.
Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?