kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 117
Anahamahama,hana njozi,ni mtu mwenye siasa za maji taka
Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
Usipende kuropoka kwa kitu usichokijuwa bwegge wewe, Pasco yuko bize na kazi zake, wewe kama unalipwa pesa kuwepo hapa JF ni wewe.
[h=1]Pasco![]()
JF Premium Member
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[/h]![]()
![]()
Add as Friend
Send Private Message
Add to Ignore List
Find latest posts
Find latest started threads
Likes Received (6205)
Likes Given (22611)
Join Date 22nd September 2008 Last Activity Today 10:19
Kumbe miaka yote hii pasco hakuwa na kazi ndo maana alikuwa anakesha JF kupiga domo sio.....washauri na akina Msalani nao watafute kazi za kufanya
Oh Yeah?Nimezaliwa CDM nakulia NCCR-Mageuzi chama makini.
Amepanga maeneo ya kirumba Mwanza karibu na kota za mamlaka ya pamba anasema ni mwalimu wa sekondari ila kachoka sana
kichwa chake kina mambo mengiJamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
Ushaanzisha kanisa lako tuje kusaliNipo nimewekewa vikwazo kila kona. Yaani nadhalilishwa. Wee acha tu.

Hapo sasa..i will, i can, i must.
ZiliwatoaAmepotea Kama Juliana Shonza na Mtela Mwampamba,Singo walizotoka nazo dhidi ya Chadema hazijawatoa