Yuko wapi Aggrey Mwanri?

mngony

JF-Expert Member
Jul 27, 2012
5,193
6,381
Bila shaka wengi mnamkumbuka vizuri huyu Mheshimiwa, mimi namkumbuka zaidi kwa uchapakazi wake akiwa Naibu Waziri Tamisemi awamu ya 4, alionekana kuwa mtendaji mzuri na alivutia kwa uwezo wake wa kujieleza, kujenga hoja na kujibu maswali Bungeni.

Nilitarajia makubwa kwake kisiasa hata siku kuona angekuja kufaa kuwa Waziri Mkuu. Nilishangazwa kukosekana kwake baraza la mawaziri na kuteuliwa ukuu wa Mkoa kabla ya kuambiwa amestaafu utumishi wa Umma

Je, amestaafu na siasa kabisa au anajipanga kurudi 2025?
 
Natamani siku moja awe Rais wa JMT.
Tena 2025.
Mh. Mwanri ana uwezo mkubwa sana wa uongozi, japokuwa anakuwa "underrated" sana.
Nawahakikishia kabisa kwamba Mh. Mwanri, akigombea 2025, CCM itaibuka kidedea kwa ushindi wa kishindo.
Naomba kuwasilisha.
 
Bila shaka wengi mnamkumbuka vizuri huyu Mheshimiwa, mimi namkumbuka zaidi kwa uchapakazi wake akiwa Naibu Waziri Tamisemi awamu ya 4, alionekana kuwa mtendaji mzuri na alivutia kwa uwezo wake wa kujieleza, kujenga hoja na kujibu maswali Bungeni.

Nilitarajia makubwa kwake kisiasa hata siku kuona angekuja kufaa kuwa Waziri Mkuu. Nilishangazwa kukosekana kwake baraza la mawaziri na kuteuliwa ukuu wa Mkoa kabla ya kuambiwa amestaafu utumishi wa Umma

Je, amestaafu na siasa kabisa au anajipanga kurudi 2025?
Bila shaka ni muda,wa kukaa na wajukuu kidogo japo wamfahamu babu yao,waliokuwa wakimsikia(Engineer?ngapi hukooo🤔)
 
Ndo yule mwehu wa tabora alitamka mungu amshukuru magufuli?

Wote hawa wazee wa kiki mama hawataki kama lile lisimbe la sumbawanga lilitaka kuanza maigzo ya kibashite.
Ninampenda sana Magufuli sana na sijawahi kumsemea ubaya . Ila nina mashaka sana staili ya utawala wake iliwafanya baadhi ya viongozi bora waonekane wehu. Wehu wao unaonekana hasa kipindi hiki. Namkumbuna Agrey mwamri, kangi lugola na luhaga mpina walikuwa potentially wakati ule nchi imegeuzwa shamba la bibi lakini walipo pewa madaraka wakageuka masanamu. Ninawasiwasi utawala ule ungemuathiri hata Deo filikunjombe
 
Ninampenda sana Magufuli sana na sijawahi kumsemea ubaya . Ila nina mashaka sana staili ya utawala wake iliwafanya baadhi ya viongozi bora waonekane wehu. Wehu wao unaonekana hasa kipindi hiki. Namkumbuna Agrey mwamri, kangi lugola na luhaga mpina walikuwa potentially wakati ule nchi imegeuzwa shamba la bibi lakini walipo pewa madaraka wakageuka masanamu. Ninawasiwasi utawala ule ungemuathiri hata Deo filikunjombe
Sasa ulicho kubali ni kipi ilhali unaonyesha kupinga yote ya awm5 kama walivyo watz walio wengi🤔
 
Natamani siku moja awe Rais wa JMT.
Tena 2025.
Mh. Mwanri ana uwezo mkubwa sana wa uongozi, japokuwa anakuwa "underrated" sana.
Nawahakikishia kabisa kwamba Mh. Mwanri, akigombea 2025, CCM itaibuka kidedea kwa ushindi wa kishindo.
Naomba kuwasilisha.
Namkubalia sana huyu Mzee, umetumia nenk sahiho kabisa 'underrated'
 
Back
Top Bottom