Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Jamaa nilikuwa namfatilia sana RFA na EATV kwa vipindi vyake ila nimejifunza mambo mengi yenye manufaa kupitia kwake:-

1.kunywa maji nusu saa baada a kula
2.Vitunguu saumu dawa.
3.Dawa ya wasiopata choo - Juisi ya ukwaju
4.Dawa ya malaria na ulcers - Juice ya limao
5........
mkuu dawa ya ulcers ni ipi
 
Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Na kuna yule mama Tery naye sijui kaishia wapi.
 
Yule alikuwa anatishia watu wasile kila chakula nilikutana naye nikashangaa ana binge la kitambi!...muongo mkubwa!
Tatizo alikua hajui kitambi kinatokana na nini, yeye alidhani vyakula vya mafuta ndio chanzo cha kitambi, ugali wa dona ambao ni wanga na vyakula vingine vya wanga ndio chanzo kikuu cha vitambi vikisaidiwa na pacha wake sukari
 
Hivi ile kwaya iliyokuwa ikichezwa background RFA wakati wa kipindi chake, unaitwaje ule wimbo? naupenda mnooo. Nilikuwaga nafurahia pale tu unapoanza kusikika. Nilishautafuta ule wimbo bila mafanikio, nadhani ni wimbo wa AIC kwaya.

-Kaveli-
ni sda nyimbo za wasabato,NATEMBEA NIKIWA MAREHEMU

Ni kwaya ya muungano sda
 
Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Nahisi atakuwa pale Magomen SDA
 
Yes alikuwa vzr,labda shida ni gharama tu!

Btw,mkuu ni ipi hiyo nisaidie meno yangu yapone
Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona
 
Hii kitu bado kidogo imuondoe roommate (msabato kwa sana) wangu kipindi nakaa mabibo hostel...alikuwa na malaria akawa anajitibu kwa dozi ya machungwa ishirini kwa siku...kuna siku akazimia...alipigwa dripu za kutosha
Tiba ya malaria kwa kunywa limao siku 16.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom