spectator Ion
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 333
- 327
nilichukia sana ile nyimbo pindi kipindi chake kinaanza
mkuu dawa ya ulcers ni ipiJamaa nilikuwa namfatilia sana RFA na EATV kwa vipindi vyake ila nimejifunza mambo mengi yenye manufaa kupitia kwake:-
1.kunywa maji nusu saa baada a kula
2.Vitunguu saumu dawa.
3.Dawa ya wasiopata choo - Juisi ya ukwaju
4.Dawa ya malaria na ulcers - Juice ya limao
5........
Na kuna yule mama Tery naye sijui kaishia wapi.Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
si alikuwa anawafundisha watu jinsi ya kula vizuri ili wasiwe na vitambi!Yupo kaja tele!ana mitambi mpaka anashindwa pumua
Ova
namuona clouds siku hizi!Na kuna yule mama Tery naye sijui kaishia wapi.
Alisema juice ya malimao....ila mpigie akupe maelekezo maana sikumbuki jinsi ya kuitumia.mkuu dawa ya ulcers ni ipi
Tatizo alikua hajui kitambi kinatokana na nini, yeye alidhani vyakula vya mafuta ndio chanzo cha kitambi, ugali wa dona ambao ni wanga na vyakula vingine vya wanga ndio chanzo kikuu cha vitambi vikisaidiwa na pacha wake sukariYule alikuwa anatishia watu wasile kila chakula nilikutana naye nikashangaa ana binge la kitambi!...muongo mkubwa!
contacts tafadhaliAlisema juice ya malimao....ila mpigie akupe maelekezo maana sikumbuki jinsi ya kuitumia.
contacts tafadhali
ni sda nyimbo za wasabato,NATEMBEA NIKIWA MAREHEMUHivi ile kwaya iliyokuwa ikichezwa background RFA wakati wa kipindi chake, unaitwaje ule wimbo? naupenda mnooo. Nilikuwaga nafurahia pale tu unapoanza kusikika. Nilishautafuta ule wimbo bila mafanikio, nadhani ni wimbo wa AIC kwaya.
-Kaveli-
Nahisi atakuwa pale Magomen SDAYule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Acha uongoHakuna jiwe litakalobaki juu ya juwe lingine. do mwaka anauza fruit salad gongo la mboto
Kula na huku unakunywa maji haitakiwi.
Kunywa soda au chai haitakiwi.
Kunywa chai na mkate haitakiwi.
Mi naikumbuka slogan yake moja ya kupinga kula huku unakunywa maji at the same time
Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona
Tiba ya malaria kwa kunywa limao siku 16.