mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
Aisee......
mhh au wewe? naogopa ujue
Aisee......
Imagination is powerful than ............!
Dada mwashelii achia hapo bwana!
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!
Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.
Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.
Ingawa sijampata, lakini naami siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:
Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube
Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????
mhh au wewe? naogopa ujue
Huachi visa wewe ehh lol!!
umemaliza supplementary?
Si ufuatilie ujue tatizo au unataka mshenga.
tuma sasa hivi zinaingia mkuu
Ulinitumia mimi hio PM nini?Heeeee???
Nenda fb utamkuta huku siko...!SIO KILA HOMA NI MALARIA....